• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Mtoto mvulana avalishwe ‘diapers’ au aachwe nyeti zake zipunge hewa?

NA WANGU KANURI MJADALA wa iwapo mtoto wa kiume anapaswa kuvalishwa nepi (diaper) au la bado ungalipo huku wazazi mbalimbali wakiwa na...

Boresha afya: Haya ni baadhi ya matumizi mengi ya ndizi

NA PAULINE ONGAJI KWA watu wengi picha ya ndizi iliyoiva kupindukia haipendezi, na tunda hili linapoonekana hivi kwa wengi suluhisho huwa...

Akothee apiga hatua shule yake ikisajiliwa rasmi, baada ya kutengana na mumewe Dennis Schweizer

NA MERCY KOSKEI MWIMBAJI Esther Akoth, almaarufu Akothee, anasherehekea hatua kubwa katika maisha yake baada ya shule yake, Akothee...

Ongezeko la watoto wa mitaa Mjini Kitale lazua hofu  

NA SAMMY WAWERU MJI wa Kitale ulioko katika Kaunti ya Trans Nzoia, ni wenye mseto wa shughuli kuanzia biashara, uchuuzi, usafiri na...

Pasta Ng’ang’a akerwa na waumini kutoa sadaka kidogo kanisani

NA MERCY KOSKEI SIKU chache baada ya mchungaji tata wa Kanisa la Neno, James Maina Ng’ang’a kuwaacha wengi kwa mshangao alipokataa...

‘Team’ mafisi, hamna bahati binti ya Mudavadi ameondoka soko

NA MERCY KOSKEI BINTI ya Waziri Mkuu Musalia Mudavadi, Maryanne Mudavadi, ameondoka rasmi soko la upweke baada ya kufunga ndoa na mpenzi...

Ole wako endapo ulikuwa unamezea mate Mulamwah, amefanya harusi

NA FRIDAH OKACHI NI rasmi sasa mcheshi na mwanakotenti David Oyando maarufu kama Mulamwah, ameondokea maisha ya upweke baada ya kufanya...

Lupita sasa aamua kufuga paka baada ya kutemwa

NA LABAAN SHABAAN MWIGIZAJI maarufu Lupita Nyong’o sasa amegeukia paka kama ‘kipenzi kiraibu chake’, siku chache baada ya kumtema...

Vidonge vya kuongeza nguvu za kiume ni njia ya kujipeleka mapema kaburini

NA BENSON MATHEKA VISA vya wanaume kufariki kwa kumeza vidonge vya kuongeza nguvu zao kiume ili kutamba chumbani vimeongezeka. Azma...

Mshairi anayeishi na ulemavu wa ngozi ajizolea sifa ndani na nje ya Lamu

NA KALUME KAZUNGU ALIDINDA kabisa kusalia ndani ya nyumba sawa na walemavu wengi ambao mara nyingi huishia kufichwa chumbani kutokana na...

Ex wa Diamond Hamisa Mobetto kufanya kazi na hasimu wa Wasafi, Konde Boy

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Hamisa Mobetto amesema anarudi kwenye muziki, akitarajiwa kushirikiana na mwanamuziki...

Diamond Platnumz amsifu Raila akisema mwanasiasa huyo ndiye ‘Baba Lao’

NA WINNIE ONYANDO MSANII maarufu wa Bongo Flava, Diamond Platnumz, katika mahojiano ya kipekee na Taifa Leo amefichua kuwa bado ana...