• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 6:55 AM

Diamond Platnumz amsifu Raila akisema mwanasiasa huyo ndiye ‘Baba Lao’

NA WINNIE ONYANDO MSANII maarufu wa Bongo Flava, Diamond Platnumz, katika mahojiano ya kipekee na Taifa Leo amefichua kuwa bado ana...

Kanairo: Askari atishia kuroga aliyempora simu Nairobi

NA SAMMY WAWERU  ASKARI kwa jina Sammy Ondimu Ngare amelalamikia kuibwa simu jijini Nairobi, akitishia kuchukulia mhusika hatua isiyo...

Nilikunywa glasi moja pekee ya chang’aa nikaishia kupoteza mkono wangu na familia nzima

KASSIM ADINASI na LABAAN SHABAAN KAMA angejua ziara yake kwenye kilabu cha chang’aa mnamo Disemba 29, 2022 ingemfanya kuwa ombaomba,...

Niponge Nisiponge? Joshua Kutuny amegewa mnofu na Ruto licha ya kumpinga 2022

NA LABAAN SHABAAN INAONEKANA Rais William Ruto anaendelea kujenga ukuruba na wakosoaji wake kutoka ngome yake ya kisiasa ya Bonde La...

Guardian Angel afanikisha ndoto ya kumiliki studio ya kulea chipukizi wa Injili

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Guardian Angel amezindua studio ya lebo ya Seven Heaven Musics almaarufu 7HM itakayotumiwa na vijana na...

‘Mume wangu analea watoto wetu watatu, lakini hajui wawili si wake’

NA FRIDAH OKACHI ULIPIZAJI kisasi umechangia baadhi ya wanaume kulea watoto ambao si wao. Mume wa Kate anawalea watoto wawili bila kujua...

Marioo asema ameshapata Sh6 milioni za kumuoa Paula Kajala

Na SINDA MATIKO MWANAMUZIKI staa Marioo kakiri kwamba yupo tayari kulipa mahari ya Tsh100 milioni (Ksh6 milioni) kwa demu wake soshiolaiti...

Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa yachapisha video kuonyesha El Nino ipo nchini

NA LABAAN SHABAAN IDARA ya Utabiri wa Hali ya Hewa Kenya (KMD) imechapisha video mitandaoni kuelezea El Nino imeanza kushuhudiwa maeneo...

Kansa: Mwanamke asimulia jinsi mume alivyomuacha kwa kukatwa titi

NA KALUME KAZUNGU BI Shumi Abdallah Bakari ni miongoni mwa manusura wa maradhi ya saratani ya matiti kisiwani Lamu. Mama huyo wa miaka 63...

Kidume cha mbegu: ‘Manzi wa Kibera’ na mumewe wa miaka 67 watarajia mtoto wa kwanza

NA MERCY KOSKEI SOSHOLAITI kwa jina Sheriffa Wambui, almaarufu Manzi wa Kibera na mumewe wa miaka 67 Samuel Nzuki Ndunda kwa jina la...

Frankie, Maureen wakumbatiana kwa mara ya kwanza baada ya kutibuana vibaya 2019

NA FRIDAH OKACHI MWANAKOTENTI Maureen Waititu alikutana kwa mara ya kwanza na Frankie Kiarie maarufu Frankie Just Gym It baada ya kuweka...

Pasta Ng’ang’a awataka wanawake waachane na Facebook isipokuwa wakihubiri Neno

NA MERCY KOSKEI MCHUNGAJI tata wa Kanisa la Neno James Maina Ng’ang’a amewaacha wengi vinywa wazi baada ya kukataza wanawake...