• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Handisheki ya ‘siri’ yazua hofu Mlima Kenya

NA WANDERI KAMAU HOFU imezuka kuhusu mustakabali wa kisiasa wa ukanda wa Mlima Kenya, kufuatia madai ya baadhi ya wanasiasa katika eneo...

Hii hapa siri ya kujipatia ngozi ya kupendeza

NA PAULINE ONGAJI TATIZO la ngozi kuzeeka upesi hukumba baadhi ya watu ambapo husababisha wasiwasi hasa miongoni mwa akina dada. Shida...

Wanandoa wanaotaka kupata watoto wakatazwa kula samaki wakubwa

NA ANGELINE OCHIENG ULAJI wa samaki wakubwa unaweza ukapunguza uwezo wa kupata watoto miongoni mwa wanaume na wanawake, wataalamu...

Maskini Simba! Afadhali Diamond Platnumz angejua Kizungu

NA FRIDAH OKACHI MFALME wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platnumz, amewaacha mashabiki na mshangao kwa kuzungumza Kiingereza visivyo akiwa...

Kwani unatumia simu ya ‘katululu’? DJ Mo azushia polisi waliokamata dereva wake

Na FRIDAH OKACHI MTUMBUIZAJI wa muziki wa Injili alifanya fujo Alhamisi jioni kwenye kituo cha polisi cha Muthangari akitaka dereva wake...

Kaburi la bahati nzuri lavutia watalii kutoka pembe zote za dunia

NA KALUME KAZUNGU JINA la Mwanahadie Famau linatambuliwa na wengi, hasa katika jamii ya Waswahili Wabajuni wa asili ya Lamu. Ni mwanamke...

Bahati akubalika kwa wakwe, matayarisho ya harusi yake na Diana yakinoga

NA FRIDAH OKACHI HARUSI ya mwanamuziki Kevin Kioko almaarufu Bahati na Diana Marua inanukia baada ya wawili hao ‘kupokea baraka’...

Utaratibu Wa Kununua Shamba Halali Ni Mrefu Na Unahitaji Subira Kuepuka Utapeli

NA LABAAN SHABAAN TUKIO la matingatinga kuangusha majengo eneo la Athi River, Mavoko, Kaunti ya Machakos, limeibua hali ya mchecheto...

Juhudi kuhifadhi na kukuza vyakula vya kiasili 

NA SAMMY WAWERU KENYA ni kati ya mataifa ambayo kulingana Shirika la Umoja wa Kimataifa la Chakula na Kilimo (FAO), limehangaishwa...

Rapudo athibitisha kutengana na Amber Ray akilaumu ‘uchizi’ kutokana na ulevi

NA MERCY KOSKEI KENNEDY Rapudo, mpenziwe Faith Makau almaarufu Amber Ray, hatimaye amezungumza wiki moja baada ya madai kuibuka...

Wito wa wananchi warejelee mazao asilia kukabiliana na kero ya njaa na uhaba wa chakula

NA SAMMY WAWERU WAKENYA wamehimizwa kurejelea chakula cha kiasili kama njia mojawapo kupambana na uhaba wa chakula na njaa. Huku athari...

Dkt Bimal Kantaria achaguliwa Mwenyekiti wa Muungano wa Mbolea Nchini

NA SAMMY WAWERU MKURUGENZI wa Kmapuni ya Pembejeo ya Elgon Kenya, Dkt Bimal Kantaria, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Muungano wa...