• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Kampuni ya Elgon Kenya yatuzwa na Rais Ruto kufuatia mchango wake mkubwa kuboresha kilimo  

NA SAMMY WAWERU KAMPUNI ya Elgon Kenya imepokea tuzo kutoka kwa Rais William Ruto kutokana na mchango wake mkubwa kuboresha sekta ya...

Shule yatoa ilani kuhusu apu ya Roblox inayoweka watoto kwenye hatari ya ngono

NA LABAAN SHABAAN MZAZI mmoja ametahadharisha wazazi wengine kuhusu tovuti maarufu ya kutoa mafunzo na michezo ya watoto kwa jina...

Pasta Ng’ang’a asema hawezi kupitisha gari lake la kifahari barabara ya Luthuli

SAMMY WAWERU PASTA mtatanishi James Maina Ng’ang’a kwa mara nyingine amekuwa gumzo la mitandao ya kijamii, kufuatia matamshi yake...

Utalipia kupata huduma katika Huduma Center, Waziri mpya wa Utumishi wa Umma atangaza

NA LABAAN SHABAAN WAKENYA watazidi kuchimba mifukoni kutoa pesa zaidi serikali ikitangaza misururu ya malipo kwa huduma za serikali...

Vidosho kutoka Uganda, Tanzania wafurika Rift Valley kukamua wazee bonasi ya chai

NA RICHARD MAOSI UTAPELI wa kimapenzi, ndiyo picha ya hali halisi katika kaunti za Bomet, Kericho, Kisii, Nandi na Mlima Elgon wakulima wa...

Ugonjwa unaomfanya mtu kujikuna anapogusa maji

Na WANGU KANURI MNAMO mwaka wa 2016, Walter Simiyu, 30, alianza kuhisi mwasho kila wakati alipogusa maji na haswa akioga. Bw Simiyu...

Hofu huku idadi ya wanaume wanaokosa nguvu za kiume ikiongezeka

Na CECIL ODONGO WATAALAMU wa afya wamezua hofu kutokana na kuendelea kupanda kwa idadi ya wanaume tasa au wale ambao hawana nguvu za...

Mabinti wa Nairobi wahamia Pwani kutafuta wazungu kununua picha za uchi wao

NA RICHARD MAOSI HALI ngumu ya maisha imewasukuma mabinti wa Nairobi kuhamia pwani kutafuta wazungu kununua picha za uchi wao. Ni...

Pasta Ng’ang’a afukuza walio na Digrii kanisa lake

NA MERCY KOSKEI MCHUNGAJI tata wa Kanisa la Neno, James Maina Ng’ang’a amewaacha wengi kwa mshangao baada ya kutoa onyo kali kwa...

Mwanamke Uingereza ajioa mwenyewe baada ya kukosa mume

NA SAMMY WAWERU MWANAMKE Uingereza aliyeweka akiba ya pesa za kufunga ndoa kwa muda wa miaka 20 mfululizo, alishangaza kwa kujiandalia na...

Gachagua ‘aonya’ Ruto dhidi ya kusaliti jamii ya Mlima Kenya 

NA SAMMY WAWERU  UHASAMA na tofauti kati ya Naibu wa Rais Rigathi Gachagua na Rais William Ruto umeanza kuonekana, Bw Gachagua...

Mwanahabari Kimani Mbugua ashukuru wasamaria wema kwa kumchangia nusu milioni baada ya kutoka ‘rehab’

NA MERCY KOSKEI MWANAHABARI Kimani Mbugua amewashukuru Wakenya waliomsaidia kuinuka tena kimaisha, kufuatia changamoto zilizomzingira....