• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:55 PM

KIGODA CHA PWANI: Mbeyu ndiye Simba Jike mpya wa siasa za Kilifi

NA PHILIP MUYANGA AZMA ya Mbunge wa Kike wa Kaunti ya Kilifi Bi Getrude Mbeyu kuwania ugavana mwaka wa 2027 imeonekana kutifua kivumbi cha...

Afichua siri kubwa ya wanawake wanaojiuza kimwili, akisema wengi wao huhatarisha afya zao kusudi wapate pesa

NA FRIDAH OKACHI KUSAKA pesa kupitia kujiuza kimwili kumesababisha wanawake wanaochukua hatua hiyo ambayo haijakubalika kimaadili,...

Ni upumbavu kunizuia kuzungumzia watu wangu Turkana, Raila asema

NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja, Raila Odinga ametaja hatua ya kumzuia kuzungumzia umma katika Kaunti ya Turkana mnamo...

AMINI USIAMINI: Kuna ndege mchinjaji

NA MWORIA MUCHINA NDEGE anayeitwa red-backed shrike pia anafahamika kama ‘butcher bird’ ama ndege mchinjaji. Hii ni kwa sababu, ndege...

Kasisi wa Afrika Kusini anayeacha mabinti wa Kenya na kiu ya mahaba

NA MERCY KOSKEI KASISI mmoja kutoka Afrika Kusini amezua msisimko nchini, kutokana na video zake kwenye mtandao wa TikTok zinazomuonyesha...

Kinyanjui ajinyanyua mwaka mmoja baada ya kulambishwa sakafu na Susan Kihika Nakuru

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA Gavana wa Nakuru, Bw Lee Kinyanjui, anaonekana kujinyanyua upya kisiasa, mwaka mmoja baada ya kuangushwa na...

El Nino itachelewa lakini inakuja, msipuuze, Wakenya waambiwa

NA LABAAN SHABAAN Kumekuwa na matarajio makubwa ya mvua ya El Nino kote nchini juma hili lakini bado mvua hizo zinasubiriwa. Idara ya...

DOMOKAYA: Lejendari Kipchoge hakika hajaonyesha picha nzuri kuhusu dogo Kiptum

NA MWANAMIPASHO HAIKUWA ni lazima ila ilikuwa ni muhimu kwa lejendari Eliud Kipchoge kumpongeza dogo Kelvin Kiptum kwa kuivunja rekodi...

Andrew Kibe asema heri ‘aombe’ ibilisi kuliko kutoa kibunda kizito kuombewa na mapasta

NA FRIDAH OKACHI VLOGA Andrew Kibe amesema ni heri kuelekeza 'maombi' yake kwa ibilisi kuliko kuingia kwa utumwa wa kutoa pesa nyingi...

Whozu akiri hana kwake, ndio maana anaishi kwa mpenziwe Wema Sepetu

MWANAMUZIKI Whozu amekiri kuwekwa na mpenzi wake Wema Sepetu. Kwa muda sasa, kumekuwa na tetesi kwamba Whozu hana kwake na kuwa kahamia...

Mbinu faafu za kilimo zaletea wakulima afueni

NA SAMMY WAWERU HUKU serikali ya Kenya na viongozi ulimwenguni wakijikuna vichwa jinsi ya kuangazia kero ya mabadiliko ya tabianchi,...

Wataalam waonya kuhusu athari za tabianchi kwa kilimo na ufugaji

NA PAULINE ONGAJI KWA Bi Evelyn Maison, 37, mfugaji wa nyuki eneo la Laikipia, mabadiliko ya tabianchi yamekuwa changamoto kwa shughuli...