• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Wataalam waonya kuhusu athari za tabianchi kwa kilimo na ufugaji

NA PAULINE ONGAJI KWA Bi Evelyn Maison, 37, mfugaji wa nyuki eneo la Laikipia, mabadiliko ya tabianchi yamekuwa changamoto kwa shughuli...

AMINI USIAMINI: Jinsi bodaboda wa kiume wanavyobakwa na wateja wao wa kike jijini

NA FRIDAH OKACHI KATIKA harakati za kujitafutia riziki, wahudumu wa bodaboda nchini hukutana na wateja wa kila aina. Mhudumu mmoja wa...

Baada ya kugawanya mashabiki kwa ‘Nataka Kunyonywa’, Embarambamba aibuka na ‘Panua’

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI tatanishi wa nyimbo za injili ‘Embarambamba’ kutoka eneo la Gusii, sasa amerejea na kibao kipya kiitwacho...

Maswali yaibuka Kipchoge kukawia kupongeza chipukizi aliyevunja rekodi yake ya marathon

NA LABAAN SHABAAN SEHEMU ya Wakenya wametilia shaka kimya cha mwanamarathoni mashuhuri Eliud Kipchoge ambaye kufikia wakati...

AKILIMALI: Huuzia wagonjwa maji moto kujipatia riziki

Na HEMED ABDALLAH UKOSEFU wa ajira miongoni mwa Wakenya wengi umechangia pakubwa watu kuibuka na mifumo na mbinu za kila aina katika...

Ndoa ya mitara inatambulika kisheria, Karen Nyamu ajitetea ‘akihalalisha’ penzi lake kwa Samidoh

NA FRIDAH OKACHI SENETA Maalum Karen Nyamu ametetea uhusiano wake na mwanamuziki Sammy Muchoki almaarufu Samidoh. Wawili hao wana...

Wapenzi watatu wa mwanamke aliyetoweka wazungumza

NA MWANGI MUIRURI WANAUME watatu kati ya sita wanaohusishwa na kutoweka kwa mpenzi wao Bi Esther Ruguru mwezi Julai mwaka huu,...

Baiskeli zaendelea kutumika Nakuru licha ya kupandishwa hadhi kuwa Jiji

NA MERCY KOSKEI BAISKELI zinaendelea kutumika kutoa huduma za usafiri na uchukuzi wa umma Nakuru licha ya kupandishwa hadhi kuwa jiji...

Ruto amsifu Uhuru kwa mara ya kwanza tangu aingie mamlakani, akizindua meli Kisumu

NA LABAAN SHABAAN RAIS William Ruto amemsifu Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kwa mara ya kwanza tangu alipoingia mamlakani alipokuwa...

Ajabu ya hedhi za wanawake kuwa na njama ya kuchocheana

Na WANGU KANURI JE, siku zako za hedhi zimewahi kuchochewa na hedhi ya mwanamke mwingine? Wanawake wengi hujipata kwenye hali hii...

Akothee adai kuwa mjamzito baada ya kuachana na mumewe mzungu

NA MERCY KOSKEI MWANAMUZIKI tajika Esther Akoth maarufu kwa jina la jukwaani kama Akothee amewaacha wengi na maswali baada ya kudai...

Biashara za uchuuzi wa dawa za mende na panya mitaani kufungwa  

NA SAMMY WAWERU  BODI ya Kudhibiti Kemikali Nchini ndiyo PCPB imetangaza kwamba biashara za wachuuzi wa dawa za mende na panya mitaani...