• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 10:55 AM

Isaac Mwaura kuweka kando jeans na kitenge baada ya kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali

NA FRIDAH OKACHI MSEMAJI wa serikali Isaac Mwaura amesema atabadilisha mtindo wa mavazi yake ambapo sasa ataweka kando jeans na mashati...

Serikali kuomba Uchina mikopo licha ya kuahidi kwenye kampeni kuepuka madeni

Na LABAAN SHABAAN Ili kukabiliana na hali ngumu ya kiuchumi, serikali ya Kenya Kwanza iliahidi kuepuka madeni na kushusha viwango vya...

Kwa nini Uhuru huenda awe mwokozi wa Gachagua mashambulizi kuhusu ‘wenye hisa’ yakichacha

NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameeleza uwezekano wake kumtafuta Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta “kujadili umoja wa ukanda...

Naondoka Wizara ya Biashara baada ya kufufua uzalishaji wa viwanda, asema Kuria

NA WANDERI KAMAU WAZIRI wa Biashara na Viwanda anayeondoka, Bw Moses Kuria, Ijumaa, Oktoba 6, 2023, alimpokeza rasmi nafasi hiyo waziri...

Hatujaona hicho chakula cha Sakaja, shule zalia kuhusu mradi wa Dishi na Kaunti

Na FRIDAH OKACHI SHULE za msingi za umma, katika Kaunti ya Nairobi, zinasubiri kujumuishwa katika mpango maalumu wa chakula almaarufu...

Orengo amchangamkia Ruto na kumwita ‘Mtukufu Rais’ licha ya uhasama wa kisiasa

Na LABAAN SHABAAN Baada ya uchaguzi mkuu wa 2022 ulioishia Rais William Ruto kuwa rais wa tano wa jamhuri ya Kenya, viongozi wa mrengo...

Kutana na Mzee Mohamed Mbwana Shee almaarufu ‘Kamusi ya Lamu Inayotembea’

NA KALUME KAZUNGU WELEDI wake na ufahamu wa ndani na nje kuihusu historia ya Lamu, jamii ya Wabajuni na maendeleo yao umewashinda hata...

Diana Marua ashambulia mwalimu wake aliyewahi kumwambia ‘hatafika mbali’

NA MERCY KOSKEI Mwanakontenti wa You Tube Diana Marua amewaacha wanamitandao kwa mshangao baada ya kumkosoa mwalimu wake wa zamani wa...

Zari amtia wivu Diamond kwa kuolewa na ‘kibenten’

NA MWANDISHI WETU ZARI Hassan almaarufu The Bosslady, aliyekuwa mpenziwe mwanamuziki tajika wa Bongo Diamond Platnumz, alifunga ndoa na...

Siasa ilibonda vibaya mifuko yangu, akiri mcheshi MC Jessy

Na SINDA MATIKO MCHEKESHAJI MC Jessy anadai mfuko wake ulibondeka vibaya mno kwenye uchaguzi mkuu uliopita. Jessy aliwania kiti cha...

Makanisa ya kiasili yalia kutelekezwa na wanasiasa baada ya uchaguzi

NA TITUS OMINDE Makanisa ya kiasili ambayo yalichangia pakubwa juhudi za Rais William Ruto za kuingia Ikulu mwaka 2022 kwa kukumbatia...

Dini inavyokuza maudhui katika riwaya ‘Chozi la Heri’

NA JOYCE NEKESA JUMA hili tutarejelea suala la dini linavyoendeleza maudhui katika riwaya ya ‘Chozi la Heri’ tukirejelea swali...