• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 7:55 AM

Vijana waliozoea kula vya haramu kwa uhalifu wasema ukusanyaji taka umefanya jamii kuwakubali

NA FRIDAH OKACHI VIJANA wanne kwenye kundi linalojiita 'Kifagio' wamenufaika na mradi wa kuokota taka. Vijana hao ambao shughuli zao ziko...

Sammy G avuna matunda ya ‘challenge’ Guardian Angel akikubali kolabo

NA LABAAN SHABAAN KIJANA Sammy G K mwenye hamu na kiu ya kukua katika tasnia ya burudani ameanza kuona matunda ya kufanya challenge ya...

Jinsi mrembo Patricia Muthoni alivyoongeza ladha kwenye shoo ya Africa Concours D’Elegance

[gallery size="full" ids="133711,133710,133709,133708,133707"]

Mwanamitindo Milka Mukami kuwakilisha Kenya kwa shindano la urembo nchini Ufilipino

NA FRIDAH OKACHI MWANAMITINDO Milka Mukami amesafiri kuelekea nchini Ufilipino kwa shindano la urembo. Shindano hilo la wanamitindo...

Udaku: Neymar aponda raha na vipusa kilabuni huku mkewe mjamzito akihangaika

VITUKO VYA MASTAA WA MAJUU NA CHRIS ADUNGO MREMBO Bruna Biancardi, 29, amekiri “kufadhaishwa sana” baada ya kusambaa kwa video...

Wakazi wa Kawangware wapumua hewa safi kwa mara ya kwanza katika miaka mingi

Na FRIDAH OKACHI Hewa safi katika mitaa ya Kawangware na Kangemi imeanza kushuhudiwa huku Kaunti ya Nairobi ikijiandaa kwa Mvua ya El Nino...

Tanzania yaishiwa na dola za Marekani miezi michache baada ya kuikejeli Kenya

NA WANDERI KAMAU TANZANIA imeanza kununua dhahabu kutoka kwa raia wake, ili kuongeza hifadhi yake ya fedha za kigeni, imesema Benki Kuu...

Kinaya Kenya Kwanza ikipeana ardhi ya chuo licha ya kumponda Uhuru awali

NA WANDERI KAMAU HISIA kali zimeibuka nchini kufuatia hatua ya serikali ya Kenya Kwanza kutoa Sh741 milioni na ekari 30 za ardhi kwa...

Nimesikia fununu kwamba huyu chali akilamba ‘bakuli’ anakuwa jeuri

SHANGAZI; Nina mpenzi ambaye nampenda kwa dhati. Amekuwa akiniambia ananipenda pia. Hata hivyo, nimesikia ana tabia ya kutumia wanawake...

Jinsi mateka wa bangi alivyofyeka familia ya watu nane nusura awaangamize

NA MWANGI MUIRURI WATU wanane wa familia moja katika Kaunti ya Murang’a, akiwemo ajuza wa miaka 78, waliponea kifo baada ya...

Kero kwa Zuchu Tanasha Donna akimpa Mama Dangote zawadi ya ‘birthday’

NA FRIDAH OKACHI MAMAKE msanii wa jina kubwa Diamond Platnumz, Mama Dangote amepokea zawadi ya manukato na maua kutoka kwa Tanasha Donna...

Salasya: Natafuta mwanamke Mzungu wa kuoa

NA MERCY KOSKEI Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya amefichua kuwa anatafuta mwanamke Mzungu wa kuchumbiana naye. Mwanasiasa huyo...