NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Injili Kambua Mathu amezungumzia pandashuka zake maishani, akifichua akijifungua watoto wanne na wala si...
NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA Jamal Marlow almaarufu Jamal Rohosafi kwa mara ya kwanza amezungumza baada ya kufanyiwa upasuaji wa...
Na PAULINE ONGAJI Protini kama mayai ni muhimu kwa afya kwa sababu humeng’enywa kwa urahisi mwilini. Mayai yana viwango vya juu vya...
NA BENSON MATHEKA IKIWA una mazoea ya kufika nyumbani ukiwa umechelewa na kutoa visingizio vya hapa na pale ili kumnyima mume au mke...
[gallery size="full" ids="133711,133710,133709,133708,133707"]
NA KALUME KAZUNGU NI taaluma aliyoipenda tangu akiwa binti mchanga wa umri wa miaka 20 pekee. Na sasa akiwa ametinga umri wa miaka 64, Bi...
NA PAULINE ONGAJI KUNA kisa ambacho kimekuwa kikigonga vichwa vya habari, ambapo kaka mmoja (Mungu ailaze roho yake mahali pema) aliuawa...
NA BENSON MATHEKA KUNA watu wasiopenda kupigiwa simu kila wakati na waume au wake wao. Wanahisi kwamba kufanya hivyo ni kuwasumbua na...
NA MWORIA MUCHINA MJUSI anayeitwa thorny devil hunywa maji kupitia miguu na ngozi. Anapatikana jangwani na alipata jina yake kutokana na...
NA BENSON MATHEKA MAPENZI ya mtandaoni yamechacha siku hizi. Watu wanatafuta wapenzi wa kuwaondolea upweke kwenye mitandao ya...
NA MWORIA MUCHINA KASUKU kwa jina Kea, wanapatikana kwa wingi nchini New Zealand. Kasuku hawa wa rangi ya kijani zamani walipenda...
NA MWORIA MUCHINA SAMAKI kwa jina archer, huwinda wadudu na viumbe wengine wadogo kwa kutema maji kutoka kwa midomo yao kama...