• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 7:50 AM

Mwanamuziki Kambua Mathu asimulia pandashuka za maisha akifichua kuhusu idadi kamili ya watoto aliozaa

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Injili Kambua Mathu amezungumzia pandashuka zake maishani, akifichua akijifungua watoto wanne na wala si...

Aliyepandikizwa nywele husubiri kati ya mwaka mmoja na mwaka mmoja na nusu kujionea matokeo

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA Jamal Marlow almaarufu Jamal Rohosafi kwa mara ya kwanza amezungumza baada ya kufanyiwa upasuaji wa...

MAPISHI: Mbinu za kupunguza harufu ya mayai inayokera

Na PAULINE ONGAJI Protini kama mayai ni muhimu kwa afya kwa sababu humeng’enywa kwa urahisi mwilini. Mayai yana viwango vya juu vya...

BAHARI YA MAPENZI: Kushiriki tendo la ndoa bila vijisababu huboresha uhusiano

NA BENSON MATHEKA IKIWA una mazoea ya kufika nyumbani ukiwa umechelewa na kutoa visingizio vya hapa na pale ili kumnyima mume au mke...

Jinsi mrembo Patricia Muthoni alivyoongeza ladha kwenye shoo ya Africa Concours D’Elegance

[gallery size="full" ids="133711,133710,133709,133708,133707"]

Mjane, 64, alivyokita katika ushonaji kofia kukabili upweke wa kufiwa na mumewe mapema

NA KALUME KAZUNGU NI taaluma aliyoipenda tangu akiwa binti mchanga wa umri wa miaka 20 pekee. Na sasa akiwa ametinga umri wa miaka 64, Bi...

FATAKI: Wakati umewadia tuongee kuhusu visa vya mauaji ya kinyama hasa kati ya jinsia hizi mbili

NA PAULINE ONGAJI KUNA kisa ambacho kimekuwa kikigonga vichwa vya habari, ambapo kaka mmoja (Mungu ailaze roho yake mahali pema) aliuawa...

BAHARI YA MAPENZI: Raha ya ndoa ni ‘kusumbuliwa’

NA BENSON MATHEKA KUNA watu wasiopenda kupigiwa simu kila wakati na waume au wake wao. Wanahisi kwamba kufanya hivyo ni kuwasumbua na...

AMINI USIAMINI: Thorny devil ni mjusi ambaye hunywa maji kupitia ngozi yake

NA MWORIA MUCHINA MJUSI anayeitwa thorny devil hunywa maji kupitia miguu na ngozi. Anapatikana jangwani na alipata jina yake kutokana na...

PENZI LA KIJANJA: Tahadhari mapenzi ya mtandaoni yasikuletee majuto

NA BENSON MATHEKA MAPENZI ya mtandaoni yamechacha siku hizi. Watu wanatafuta wapenzi wa kuwaondolea upweke kwenye mitandao ya...

AMINI USIAMINI: Kasuku kwa jina Kea hula kondoo

NA MWORIA MUCHINA KASUKU kwa jina Kea, wanapatikana kwa wingi nchini New Zealand. Kasuku hawa wa rangi ya kijani zamani walipenda...

AMINI USIAMINI: Samaki anayewinda kwa kutema maji kama risasi

NA MWORIA MUCHINA SAMAKI kwa jina archer, huwinda wadudu na viumbe wengine wadogo kwa kutema maji kutoka kwa midomo yao kama...