NA MWORIA MUCHINA NDEGE anayeitwa red-backed shrike pia anafahamika kama ‘butcher bird’ ama ndege mchinjaji. Hii ni kwa sababu, ndege...
NA MERCY KOSKEI KASISI mmoja kutoka Afrika Kusini amezua msisimko nchini, kutokana na video zake kwenye mtandao wa TikTok zinazomuonyesha...
NA FRIDAH OKACHI KATIKA harakati za kujitafutia riziki, wahudumu wa bodaboda nchini hukutana na wateja wa kila aina. Mhudumu mmoja wa...
NA BENSON MATHEKA KIPUSA, iwapo umeangukia barobaro ambaye ni chaguo lako la mume, usimharakishe akuoe. Kwanza unafaa kufahamu siri...
NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Injili Kambua Mathu amezungumzia pandashuka zake maishani, akifichua akijifungua watoto wanne na wala si...
NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA Jamal Marlow almaarufu Jamal Rohosafi kwa mara ya kwanza amezungumza baada ya kufanyiwa upasuaji wa...
Na PAULINE ONGAJI Protini kama mayai ni muhimu kwa afya kwa sababu humeng’enywa kwa urahisi mwilini. Mayai yana viwango vya juu vya...
NA BENSON MATHEKA IKIWA una mazoea ya kufika nyumbani ukiwa umechelewa na kutoa visingizio vya hapa na pale ili kumnyima mume au mke...
[gallery size="full" ids="133711,133710,133709,133708,133707"]
NA KALUME KAZUNGU NI taaluma aliyoipenda tangu akiwa binti mchanga wa umri wa miaka 20 pekee. Na sasa akiwa ametinga umri wa miaka 64, Bi...
NA PAULINE ONGAJI KUNA kisa ambacho kimekuwa kikigonga vichwa vya habari, ambapo kaka mmoja (Mungu ailaze roho yake mahali pema) aliuawa...
NA BENSON MATHEKA KUNA watu wasiopenda kupigiwa simu kila wakati na waume au wake wao. Wanahisi kwamba kufanya hivyo ni kuwasumbua na...