• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

AMINI USIAMINI: Kuna ndege mchinjaji

NA MWORIA MUCHINA NDEGE anayeitwa red-backed shrike pia anafahamika kama ‘butcher bird’ ama ndege mchinjaji. Hii ni kwa sababu, ndege...

Kasisi wa Afrika Kusini anayeacha mabinti wa Kenya na kiu ya mahaba

NA MERCY KOSKEI KASISI mmoja kutoka Afrika Kusini amezua msisimko nchini, kutokana na video zake kwenye mtandao wa TikTok zinazomuonyesha...

AMINI USIAMINI: Jinsi bodaboda wa kiume wanavyobakwa na wateja wao wa kike jijini

NA FRIDAH OKACHI KATIKA harakati za kujitafutia riziki, wahudumu wa bodaboda nchini hukutana na wateja wa kila aina. Mhudumu mmoja wa...

PENZI LA KIJANJA: Jamaa huoa kwa wakati wake, huwa hapendi presha

NA BENSON MATHEKA KIPUSA, iwapo umeangukia barobaro ambaye ni chaguo lako la mume, usimharakishe akuoe. Kwanza unafaa kufahamu siri...

Mwanamuziki Kambua Mathu asimulia pandashuka za maisha akifichua kuhusu idadi kamili ya watoto aliozaa

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Injili Kambua Mathu amezungumzia pandashuka zake maishani, akifichua akijifungua watoto wanne na wala si...

Aliyepandikizwa nywele husubiri kati ya mwaka mmoja na mwaka mmoja na nusu kujionea matokeo

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA Jamal Marlow almaarufu Jamal Rohosafi kwa mara ya kwanza amezungumza baada ya kufanyiwa upasuaji wa...

MAPISHI: Mbinu za kupunguza harufu ya mayai inayokera

Na PAULINE ONGAJI Protini kama mayai ni muhimu kwa afya kwa sababu humeng’enywa kwa urahisi mwilini. Mayai yana viwango vya juu vya...

BAHARI YA MAPENZI: Kushiriki tendo la ndoa bila vijisababu huboresha uhusiano

NA BENSON MATHEKA IKIWA una mazoea ya kufika nyumbani ukiwa umechelewa na kutoa visingizio vya hapa na pale ili kumnyima mume au mke...

Jinsi mrembo Patricia Muthoni alivyoongeza ladha kwenye shoo ya Africa Concours D’Elegance

[gallery size="full" ids="133711,133710,133709,133708,133707"]

Mjane, 64, alivyokita katika ushonaji kofia kukabili upweke wa kufiwa na mumewe mapema

NA KALUME KAZUNGU NI taaluma aliyoipenda tangu akiwa binti mchanga wa umri wa miaka 20 pekee. Na sasa akiwa ametinga umri wa miaka 64, Bi...

FATAKI: Wakati umewadia tuongee kuhusu visa vya mauaji ya kinyama hasa kati ya jinsia hizi mbili

NA PAULINE ONGAJI KUNA kisa ambacho kimekuwa kikigonga vichwa vya habari, ambapo kaka mmoja (Mungu ailaze roho yake mahali pema) aliuawa...

BAHARI YA MAPENZI: Raha ya ndoa ni ‘kusumbuliwa’

NA BENSON MATHEKA KUNA watu wasiopenda kupigiwa simu kila wakati na waume au wake wao. Wanahisi kwamba kufanya hivyo ni kuwasumbua na...