• Nairobi
  • Last Updated December 4th, 2023 8:09 PM

CECIL ODONGO: Ruto, Gachagua polepole wanaingia mtego wa Raila

NA CECIL ODONGO ITAKUWA vyema kwa utawala wa Kenya Kwanza (KK) kuzamia wajibu wao wa kuwatumikia Wakenya. Rais William Ruto, naibu...

TAHARIRI: Serikali yafaa irahisishe harakati ya kuingia Gredi 7

NA MHARIRI JUMA lijalo, wanafunzi wa Gredi ya 7 wanatarajiwa kujiunga na shule mbalimbali kwa masomo ya Sekondari ya Msingi chini ya...

TUSIJE TUKASAHAU: Majangili waendelea kuhangaisha Wakenya licha ya KK kuahidi kuwakomesha

HUKU shule zikiwa zimefunguliwa kwa muhula wa kwanza katika mwaka wa masomo wa 2023, taharuki ingali imetanda katika maeneo kadha ya North...

TAHARIRI: Mageuzi yajayo katika HELB yafanywe kwa umakinifu

NA MHARIRI SERIKALI imeeleza mpango wa kufanyia marekebisho mfumo mzima wa kufadhili elimu ya wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu...

BENSON MATHEKA: Inashangaza hongo kutozwa hadharani na maafisa wa trafiki raia wakishangilia

NA BENSON MATHEKA IMESEMWA mara nyingi na inajulikana wazi kuwa ufisadi ni tishio kwa usawa wa maendeleo na haki. Ufisadi unafanya...

TAHARIRI: Pesa za mgao wa wanafunzi zisicheleshwe muhula ukianza

NA MHARIRI SHULE zinapofunguliwa leo Jumatatu, serikali yapaswa kutimiza ahadi yake na kuzipatia pesa kwa wakati. Alipotangaza matokeo ya...

WANDERI KAMAU: Wakenya wamechoshwa na siasa; sasa wanataka kufanyiwa kazi kwanza

NA WANDERI KAMAU ILIPOFIKA Januari 1, 2023 kila mtu alikuwa na matumaini makubwa. Mwaka mpya. Mambo mpya na mtazamo mpya maishani. Kando...

DOUGLAS MUTUA: Waliojaribu kuvuruga uchaguzi Agosti waadhibiwe bila huruma

NA DOUGLAS MUTUA JE, Rais William Ruto anapaswa kuwaadhibu watu waliotaka kumnyima urais baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2022 au ajitie...

TAHARIRI: Mbinu kukabili upangaji mechi FKF ziwe pana

NA MHARIRI WIKI jana, Shirikisho la Soka Nchini (FKF) liliwapiga marufuku makocha na wachezaji, 15 ambao lilidai walihusishwa na upangaji...

TAHARIRI: Tubuni sera zitakazoziba pengo kubwa la kiuchumi

NA MHARIRI RIPOTI ya shirika la kimataifa la Oxfam kuwa Wakenya wawili wenye utajiri mkubwa zaidi wanamiliki mali inayoshinda...

TUSIJE TUKASAHAU: NHIF ifanyiwe mageuzi iwahudumie Wakenya wote bila kujali magonjwa wanayougua

MAPEMA mwezi huu Shirikisho la Mashirika ya Kutetea Maslahi ya Wagonjwa wa Saratani (KNCO) lililalamika kuwa Bima ya Kitaifa ya Afya (NHIF)...

KINYUA KING’ORI: Ni haki ya kila Mkenya popote kupelekewa maendeleo bila ubaguzi

NA KINYUA KING'ORI HATUA ya Rais Dkt William Ruto kuzuru Nyanza hivi majuzi na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo huku akiahidi...