NA CHARLES WASONGA INAUDHI kuwa licha ya serikali kuonya walimu wakuu wa shule za umma za msingi na upili dhidi ya kutoza wazazi ada za...
NA CECIL ODONGO RAIS William Ruto na viongozi wa Kenya Kwanza wakome kuhadaa Wakenya kwamba mikutano wanayoandaa katika kaunti mbalimbali...
NA MHARIRI SERIKALI imetangaza kuwa mahindi ya bei nafuu yanaingia nchini kuanzia leo Jumatano ili kuziba pengo la uhaba wa mlo...
NA MHARIRI WANAFUNZI wa Gredi 7 hatimaye walienda shuleni jana Jumatatu baada ya pandashuka nyingi kuhusu hatima yao. Safari ya elimu...
WANANCHI katika maeneo ya kadha nchini haswa North Rift na Kaskazini Mashariki na Pwani wanaendelea kuathiriwa na visa vya utovu wa...
NA WANDERI KAMAU HADI sasa, ingali kubainika kuhusu ikiwa aliyekuwa Chansela wa Ujerumani kati ya 1933 na 1945, Adolf Hitler, alitimiza...
NA KEN OKANIWA MOJAWAPO ya matukio muhimu kwa mwanadiplomasia ni nchi yake inapoadhimisha kumbukumbu muhimu katika uhusiano wa taifa...
NA MHARIRI MNAMO Juni 30, 2022 Dkt William Ruto akiwa mwaniaji urais kupitia chama cha United Democratic Alliance (UDA), alizindua...
IDARA ya Upelelezi wa Jinai (DCI) imeanzisha uchunguzi wa ripoti kuhusu uwepo wa takwimu mpya ambayo muungano wa Azimio unadai inaonyesha...
JUZI serikali ililipa Sh1.3 milioni, bili ya hospitali iliyochangia mkewe shujaa wa uhuru Dedan Kimathi, Mukami Kimathi, kuzuiliwa katika...
NA WANDERI KAMAU KIFO cha aliyekuwa Waziri wa Elimu, Profesa George Magoha, ni ishara ya wazi kuwa si lazima mtu ajiingize katika siasa...
NA DOUGLAS MUTUA USASA una matatizo. Na kuukimbiza usasa humwacha mtu katika hali ya kukanganyikiwa asitofautishe kushoto na kulia,...