• Nairobi
  • Last Updated May 12th, 2024 5:50 AM

CECIL ODONGO: Jamii ya kimataifa iingilie kati na kufanya patanisho ya Rais Ruto, Raila

NA CECIL ODONGO NAOMBA jamii ya kimataifa iingilie kati mvutano wa Rais William Ruto na kinara wa Azimio, Bw Raila Odinga, kuhusu matokeo...

KINYUA KING’ORI: Tujadili mbinu za kukabili changamoto zinazotulemea tuache porojo za Agosti 9

NA KINYUA KING'ORI NASHINDWA kuelewa jinsi “ufichuzi” wa Raila Odinga kushinda kura ya urais katika uchaguzi mkuu uliopita,...

JURGEN NAMBEKA: Kaunti nyingine Pwani ziige ‘Mombasa Yangu’ ya Nassir

NA JURGEN NAMBEKA MAJUZI Gavana wa Mombasa, Bw Abdulswammad Nassir, alianzisha mpango wa ‘Mombasa Yangu’ unaonuia kutoa nafasi za...

TAHARIRI: Wabunge wafaa waheshimu hadhi yao na kuonyesha kujali wananchi

NA MHARIRI KITENDO cha wabunge kushika mateka serikali huku wakiendelea kufuja pesa za umma ni cha aibu na kuudhi. Wabunge 300 kwa zaidi...

MITAMBO: Mtambo safi katika uundaji lishe toka makapi ya mahindi

NA PETER CHANGTOEK WAKULIMA wa mahindi kutoka maeneo tajiri ya Uasin-Gishu, Nandi na Trans-Nzoia kwa siku nyingi wamekuwa wakipinga...

CHARLES WASONGA: Watahiniwa waliozoa gredi za chini wasife moyo, wanaweza kupata digrii

NA CHARLES WASONGA KUTANGAZWA kwa matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) kuliibua hisia mseto miongoni mwa watahiniwa,...

CECIL ODONGO: Ruto, Gachagua polepole wanaingia mtego wa Raila

NA CECIL ODONGO ITAKUWA vyema kwa utawala wa Kenya Kwanza (KK) kuzamia wajibu wao wa kuwatumikia Wakenya. Rais William Ruto, naibu...

TAHARIRI: Serikali yafaa irahisishe harakati ya kuingia Gredi 7

NA MHARIRI JUMA lijalo, wanafunzi wa Gredi ya 7 wanatarajiwa kujiunga na shule mbalimbali kwa masomo ya Sekondari ya Msingi chini ya...

TUSIJE TUKASAHAU: Majangili waendelea kuhangaisha Wakenya licha ya KK kuahidi kuwakomesha

HUKU shule zikiwa zimefunguliwa kwa muhula wa kwanza katika mwaka wa masomo wa 2023, taharuki ingali imetanda katika maeneo kadha ya North...

TAHARIRI: Mageuzi yajayo katika HELB yafanywe kwa umakinifu

NA MHARIRI SERIKALI imeeleza mpango wa kufanyia marekebisho mfumo mzima wa kufadhili elimu ya wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu...

BENSON MATHEKA: Inashangaza hongo kutozwa hadharani na maafisa wa trafiki raia wakishangilia

NA BENSON MATHEKA IMESEMWA mara nyingi na inajulikana wazi kuwa ufisadi ni tishio kwa usawa wa maendeleo na haki. Ufisadi unafanya...

TAHARIRI: Pesa za mgao wa wanafunzi zisicheleshwe muhula ukianza

NA MHARIRI SHULE zinapofunguliwa leo Jumatatu, serikali yapaswa kutimiza ahadi yake na kuzipatia pesa kwa wakati. Alipotangaza matokeo ya...