• Nairobi
  • Last Updated May 11th, 2024 5:06 PM

WANDERI KAMAU: Wakenya wamechoshwa na siasa; sasa wanataka kufanyiwa kazi kwanza

NA WANDERI KAMAU ILIPOFIKA Januari 1, 2023 kila mtu alikuwa na matumaini makubwa. Mwaka mpya. Mambo mpya na mtazamo mpya maishani. Kando...

DOUGLAS MUTUA: Waliojaribu kuvuruga uchaguzi Agosti waadhibiwe bila huruma

NA DOUGLAS MUTUA JE, Rais William Ruto anapaswa kuwaadhibu watu waliotaka kumnyima urais baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2022 au ajitie...

TAHARIRI: Mbinu kukabili upangaji mechi FKF ziwe pana

NA MHARIRI WIKI jana, Shirikisho la Soka Nchini (FKF) liliwapiga marufuku makocha na wachezaji, 15 ambao lilidai walihusishwa na upangaji...

TAHARIRI: Tubuni sera zitakazoziba pengo kubwa la kiuchumi

NA MHARIRI RIPOTI ya shirika la kimataifa la Oxfam kuwa Wakenya wawili wenye utajiri mkubwa zaidi wanamiliki mali inayoshinda...

TUSIJE TUKASAHAU: NHIF ifanyiwe mageuzi iwahudumie Wakenya wote bila kujali magonjwa wanayougua

MAPEMA mwezi huu Shirikisho la Mashirika ya Kutetea Maslahi ya Wagonjwa wa Saratani (KNCO) lililalamika kuwa Bima ya Kitaifa ya Afya (NHIF)...

KINYUA KING’ORI: Ni haki ya kila Mkenya popote kupelekewa maendeleo bila ubaguzi

NA KINYUA KING'ORI HATUA ya Rais Dkt William Ruto kuzuru Nyanza hivi majuzi na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo huku akiahidi...

CECIL ODONGO: Waasi wa ODM wajifunze kutokana na ziara ya Ruto

NA CECIL ODONGO BAADA ya kinara wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga, kushindwa katika uchaguzi mkuu mwaka 2022, kuna baadhi ya...

CHARLES WASONGA: Machifu, Nyumba Kumi walinde wazee wasiporwe pesa za Inua Jamii

NA CHARLES WASONGA KUFUATIA visa vya wazee kuuawa baada ya kupokea pesa za mpango wa Inua Jamii, ipo haja kwa serikali kuchukulia kwa...

BENSON MATHEKA: Ruto anafanya vyema kuzuru ngome za Upinzani, bora tu apunguze siasa

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto amefanya kile ambacho kiongozi wa nchi anafaa kufanya; kuunganisha taifa. Amekuwa akitembelea kaunti...

CHARLES WASONGA: Mbinu za kuteua wanafunzi wa Kidato cha 1 ziimarishwe

NA CHARLES WASONGA HUKU matokeo ya uteuzi wa wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka huu yakiwa yametolewa tayari, ni matarajio...

TAHARIRI: Serikali isikilize vilio vya wazazi kuhusu uteuzi wa sekondari

NA MHARIRI PUNDE baada ya Waziri wa Elimu Bw Ezekiel Machogu kutangaza matokeo ya uteuzi wa watakaojiunga na shule za sekondari jana...

WANTO WARUI: Wizara iangazie zaidi vyuo vya ufundi ili kusaidia vijana wanapomaliza sekondari

NA WANTO WARUI VIJANA wengi wanaomaliza shule za sekondari hujipata wakitapatapa huku na kule wakitafuta jambo la kufanya wanapokosa...