• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 4:40 PM

Borussia Dortmund watoka nyuma na kulazimishia Bayern Munich sare ya 2-2 katika Bundesliga

Na MASHIRIKA BORUSSIA Dortmund walitoka nyuma kwa mabao 2-0 na kulazimishia Bayern Munich sare ya 2-2 katika gozi kali la Ligi Kuu ya...

Olunga afunga mabao mawili Al Duhail ikitinga nusu-fainali Ooredoo Cup

NA GEOFFREY ANENE Mshambulizi matata Michael Olunga alipachika wavuni mabao mawili na kusaidia Al Duhail kuzamisha Al Rayyan 3-0 na...

PSG waambulia sare tasa dhidi ya Reims ligini

Na MASHIRIKA BEKI Sergio Ramos alionyeshwa kadi nyekundu kwa mara ya 28 katika taaluma yake ya usogora wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya...

Harry Kane aongoza Spurs kucharaza Brighton katika mchuano wa EPL

Na MASHIRIKA HARRY Kane alifunga bao lake la nane msimu huu na kusaidia Tottenham Hotspur kupepeta Brighton 1-0 katika Ligi Kuu ya...

Mbappe awapita Messi na Ronaldo orodha ya mastaa wakwasi duniani

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe, 23, ameongoza orodha ya Forbes ya wanasoka wanaodumishwa kwa ujira mkubwa zaidi duniani – mara ya kwanza kwa...

AC Milan wakomoa Juventus katika Serie A na kuweka kocha Massimiliano Allegri katika hatari ya kupigwa kalamu

Na MASHIRIKA AC Milan waliendeleza masaibu ya kocha Massimiliano Allegri katika kikosi cha Juventus kwa kusajili ushindi wa 2-0 mnamo...

Real Madrid wazamisha Getafe na kupaa hadi kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA REAL Madrid walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya kutandika Gatafe 1-0 mnamo Jumamosi...

Wadhamini na washirika wapasha misuli moto Standard Chartered Nairobi Marathon

Na GEOFFREY ANENE Kamati andalizi ya mbio za Standard Chartered Nairobi Marathon mnamo Jumamosi imeandaa mbio za tatu na mwisho za kupasha...

Man-City waponda Southampton na kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifunga bao la 20 akivalia jezi za waajiri wake Manchester City waliokomoa Southampton 4-0 katika pambano...

Kocha Steve Cooper sasa kudhibiti mikoba ya Nottingham Forest ya EPL hadi 2025

Na MASHIRIKA KOCHA Steve Cooper ametia saini mkataba mpya utakaomshuhudia akidhibiti mikoba ya Nottingham Forest hadi mwaka wa...

Mshambuliaji wa zamani wa Harambee Stars Paul Kiongera astaafu soka

NA RUTH AREGE MSHAMBULIAJI wa zamani wa Harambee Stars Paul Mungai Kiongera, amestaafu soka baada ya miaka 12 na amejiunga na...

Vivian Nasaka Makokha ajiunga na Hakkarigucu Spor kwa mkataba wa mwaka mmoja

NA RUTH AREGE BEKI wa pembeni wa Harambee Starlets Vivian Nasaka Makokha, amesaini mkataba wa mwaka mmoja na timu ya Hakkarigucu Spor ya...