• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 2:29 PM

Mashabiki wamtaka Rachier ajiuzulu kwa kukiri ni Freemason

NA CECIL ODONGO MWENYEKITI wa Gor Mahia Ambrose Dickens Otieno Amollo Rachier ameanza kuandamwa na shinikizo zinazomtaka ajiuzulu baada ya...

Mpira wa Vikapu: Kenya yaambulia patupu mashindano ya Red Bull Half Court

NA RUTH AREGE KENYA ilibanduliwa mapema kwenye makala ya pili ya mashindano ya dunia ya mpira wa vikapu ya Red Bull Half Court ya...

Barcelona wapepeta Mallorca na kuendeleza presha kwa Real Madrid kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA ROBERT Lewandowski alifungia Barcelona bao la pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Mallorca mnamo Jumamosi usiku na kuanika...

Uhispania yatema idadi kubwa ya wanasoka wazoefu kikosini

Na MASHIRIKA KOCHA wa timu ya taifa ya wanawake ya Uhispania, Jorge Vilda, ametema wanasoka nyota katika kikosi kitakachoshiriki...

Erling Haaland aongoza Man-City kupepeta Man-United 6-3 katika gozi la EPL ugani Etihad

Na MASHIRIKA NYOTA Erling Haaland, 22, aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuwahi kufunga hat-tricks (mabao matatu katika mechi...

Kylian Mbappe aongoza PSG kupepeta Nice na kudhibiti kilele cha jedwali la Ligi Kuu ya Ufaransa

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alitokea benchi na kufungia Paris Saint-Germain (PSG) bao la pili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Nice katika...

AS Roma ya kocha Jose Mourinho yazamisha chombo cha Inter Milan katika Serie A

Na MASHIRIKA BEKI wa zamani wa Manchester United, Chris Smalling, alifungia AS Roma goli la pili katika ushindi wa 2-1 uliokuwa wao wa...

Montreal anayochezea Wanyama yazidi kutesa wapinzani MLS

Na GEOFFREY ANENE CF Montreal imepunguza mwanya wa viongozi Philadelphia Union kutoka alama tano hadi mbili baada ya kuchabanga D.C....

London Marathon: Yehaulaw avunja utawala wa Kenya wa miaka sita

Na GEOFFREY ANENE KENYA imepoteza ubingwa wa London Marathon wa kitengo cha akina dada na utawala wa miaka sita baada ya Muethiopia...

Wolves wamtimua kocha Bruno Lage kutokana na msururu wa matokeo duni

Na MASHIRIKA WOLVERHAMPTON Wanderers wamemfuta kazi kocha Bruno Lage baada ya miezi sita pekee kutokana na msururu wa matokeo...

Cologne yazamisha chombo cha Borussia Dortmund katika Bundesliga

Na MASHIRIKA BORUSSIA Dortmund walipoteza fursa ya kupaa hadi kileleni mwa jedwali la Bundesliga baada ya kupokezwa na Cologne kichapo cha...

Kerio na Agai washinda Kosice Marathon Slovakia, Ronoh na Cheptoo wang’ara mjini Melbourne

NA GEOFFREY ANENE WAKENYA Reuben Kerio na Margaret Agai wametawala mbio za Kosice Peace Marathon nchini Slovakia nao Timothy Ronoh na...