NA CECIL ODONGO MWENYEKITI wa Gor Mahia Ambrose Dickens Otieno Amollo Rachier ameanza kuandamwa na shinikizo zinazomtaka ajiuzulu baada ya...
NA RUTH AREGE KENYA ilibanduliwa mapema kwenye makala ya pili ya mashindano ya dunia ya mpira wa vikapu ya Red Bull Half Court ya...
Na MASHIRIKA ROBERT Lewandowski alifungia Barcelona bao la pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Mallorca mnamo Jumamosi usiku na kuanika...
Na MASHIRIKA KOCHA wa timu ya taifa ya wanawake ya Uhispania, Jorge Vilda, ametema wanasoka nyota katika kikosi kitakachoshiriki...
Na MASHIRIKA NYOTA Erling Haaland, 22, aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuwahi kufunga hat-tricks (mabao matatu katika mechi...
Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alitokea benchi na kufungia Paris Saint-Germain (PSG) bao la pili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Nice katika...
Na MASHIRIKA BEKI wa zamani wa Manchester United, Chris Smalling, alifungia AS Roma goli la pili katika ushindi wa 2-1 uliokuwa wao wa...
Na GEOFFREY ANENE CF Montreal imepunguza mwanya wa viongozi Philadelphia Union kutoka alama tano hadi mbili baada ya kuchabanga D.C....
Na GEOFFREY ANENE KENYA imepoteza ubingwa wa London Marathon wa kitengo cha akina dada na utawala wa miaka sita baada ya Muethiopia...
Na MASHIRIKA WOLVERHAMPTON Wanderers wamemfuta kazi kocha Bruno Lage baada ya miezi sita pekee kutokana na msururu wa matokeo...
Na MASHIRIKA BORUSSIA Dortmund walipoteza fursa ya kupaa hadi kileleni mwa jedwali la Bundesliga baada ya kupokezwa na Cologne kichapo cha...
NA GEOFFREY ANENE WAKENYA Reuben Kerio na Margaret Agai wametawala mbio za Kosice Peace Marathon nchini Slovakia nao Timothy Ronoh na...