NA JOHN ASHIHUNDU WAZIRI mpya wa Michezo, Ababu Namwamba ameahidi kufufua sekta ya spoti kote nchini mara tu atakapoanza kutekeleza wajibu...
Na MASHIRIKA LIONEL Messi alishinda mchuano wake wa 100 kimataifa kwa kufunga mabao mawili yaliyosaidia Argentina kupepeta Jamaica 3-0...
Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, John Mikel Obi, ameangika daluga zake kwenye ulingo wa soka akiwa na umri wa...
Na MASHIRIKA ALVARO Morata alifunga bao la pekee na la ushindi dhidi ya Ureno mnamo Jumanne usiku jijini Braga na kusaidia timu yake ya...
NA RUTH AREGE TIMU nne za mpira wa vikapu za wachezaji watatu kila upande (3x3), zinatarajiwa kuondoka nchini leo Jumatano usiku...
NA RUTH AREGE TIMU ya Zetech Sparks ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), imesajili wachezaji watano wapya ikiwa ni kujiandaa kwa msimu...
Na MASHIRIKA MABINGWA wa dunia, Ufaransa, waliponea chupuchupu kuteremshwa ngazi kutoka makundi ya vikosi vya haiba kubwa kwenye Uefa...
Na MASHIRIKA ITALIA walifuzu kwa nusu-fainali za Uefa Nations League baada ya kukomoa Hungary 2-0 katika pambano la mwisho la Kundi A3...
Na MASHIRIKA UINGEREZA waliambua sare ya 3-3 dhidi ya Ujerumani katika pambano la mwisho la Kundi A3 kwenye Uefa Nations League mnamo...
Na MASHIRIKA CROATIA na Uholanzi ndiyo mataifa ya kwanza kufuzu kwa nusu-fainali za UEFA Nations League baada ya kushinda mechi zao za...
Na MASHIRIKA WALES waliteremshwa ngazi kutoka makundi ya vikosi vya haiba kubwa kwenye Uefa Nations League baada ya Poland kuwapepeta...
Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia ya mbio za kilomita 42 ya wanawake Brigid Kosgei amejiondoa kutoka makala ya 42 ya London...