• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Mkenya Karan Patel aibuka mshindi wa Rwanda Mountain Gorilla Rally

NA GEOFFREY ANENE DEREVA Mkenya Karan Patel akishirikiana na Tauseef Khan aliibuka mshindi wa duru ya Mbio za Magari za Afrika (ARC) ya...

Omanyala, Okutoyi washauri wanatenisi chipukizi jinsi ya kufaulu

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Ferdinand Omanyala na Angella Okutoyi waliwapa motisha wanatenisi 120 chipukizi walio chini ya umri wa miaka 12...

Kiungo wa Brazil, Allan, aondoka Everton na kuyoyomea UAE kuvalia jezi za Al-Wahda

Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa Brazil, Allan, 31, ameondoka kambini mwa Everton na kujiunga na kikosi cha Al-Wahda cha United Arab...

Richarlson aongoza Brazil kupepeta Ghana katika mechi ya kujinoa kwa fainali za Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar

Na MASHIRIKA FOWADI mpya wa Tottenham Hotspur, Richarlson Andrade, alifunga mabao mawili katika kipindi cha kwanza na kusalia Brazil...

GASPO Women ya KWPL yasajili 10

NA RUTH AREGE KLABU ya Gaspo Women ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), imesajili wachezaji 10 tayari kwa maandalizi ya msimu wa...

Jentrix Shikangwa na beki Ruth Ingotsi watarajiwa kujiunga na Simba Queens ya TZ

NA RUTH AREGE WACHEZAJI wawili wa Harambee Starlets - mshambulizi Jentrix Shikangwa na beki Ruth Ingotsi Mukalukho - wanatarajiwa...

Uhispania watandikwa nyumbani kwa mara ya kwanza baada ya miaka minne

Na MASHIRIKA UHISPANIA walishindwa katika uwanja wa nyumbani chini ya takriban miaka minne baada ya Uswisi kuwapokeza kichapo cha 2-1...

Kipchoge aifuta rekodi ya dunia ya kilomita 42 kwa nusu dakika Berlin Marathon

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Eliud Kipchoge ameweka rekodi mpya ya dunia ya mbio za kilomita 42 baada ya kushinda Berlin Marathon kwa saa...

GUMZO: Chipukizi Nwaneri aingia mabuku ya Guinness Records

IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO MNAMO Jumapili iliyopita Ethan Nwaneri aliingia kwenye kumbukumbu za historia za Guinness World Records...

Bandari kuwakosa chipukizi wawili wenye majeraha mabaya

NA ABDULRAHMAN SHERIFF KIUNGO mshambuliaji wa Bandari FC, Mohamed Abeid hataweza kuichezea timu yake hiyo kwa kipindi cha miezi sita ama...

Giroud akaribia rekodi ya mfungaji Thierry Henry nchini Ufaransa huku akiwa mchezaji mkongwe zaidi kuwahi kufungia miamba hao

Na MASHIRIKA OLIVIER Giroud aliweka rekodi ya kuwa mchezaji mkongwe zaidi kuwahi kufunga bao katika historia ya timu ya taifa ya Ufaransa...

Macho kwa Neymar timu ya Brazil ikiendea Ghana kirafiki leo

NA MASHIRIKA LE HARVE, Ufaransa HUKU Brazil ikipangwa kumenyana na Cameroon kwenye Kombe la Dunia nchini Qatar mnamo Desemba 2,...