NA GEOFFREY ANENE DEREVA Mkenya Karan Patel akishirikiana na Tauseef Khan aliibuka mshindi wa duru ya Mbio za Magari za Afrika (ARC) ya...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA Ferdinand Omanyala na Angella Okutoyi waliwapa motisha wanatenisi 120 chipukizi walio chini ya umri wa miaka 12...
Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa Brazil, Allan, 31, ameondoka kambini mwa Everton na kujiunga na kikosi cha Al-Wahda cha United Arab...
Na MASHIRIKA FOWADI mpya wa Tottenham Hotspur, Richarlson Andrade, alifunga mabao mawili katika kipindi cha kwanza na kusalia Brazil...
NA RUTH AREGE KLABU ya Gaspo Women ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), imesajili wachezaji 10 tayari kwa maandalizi ya msimu wa...
NA RUTH AREGE WACHEZAJI wawili wa Harambee Starlets - mshambulizi Jentrix Shikangwa na beki Ruth Ingotsi Mukalukho - wanatarajiwa...
Na MASHIRIKA UHISPANIA walishindwa katika uwanja wa nyumbani chini ya takriban miaka minne baada ya Uswisi kuwapokeza kichapo cha 2-1...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA Eliud Kipchoge ameweka rekodi mpya ya dunia ya mbio za kilomita 42 baada ya kushinda Berlin Marathon kwa saa...
IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO MNAMO Jumapili iliyopita Ethan Nwaneri aliingia kwenye kumbukumbu za historia za Guinness World Records...
NA ABDULRAHMAN SHERIFF KIUNGO mshambuliaji wa Bandari FC, Mohamed Abeid hataweza kuichezea timu yake hiyo kwa kipindi cha miezi sita ama...
Na MASHIRIKA OLIVIER Giroud aliweka rekodi ya kuwa mchezaji mkongwe zaidi kuwahi kufunga bao katika historia ya timu ya taifa ya Ufaransa...
NA MASHIRIKA LE HARVE, Ufaransa HUKU Brazil ikipangwa kumenyana na Cameroon kwenye Kombe la Dunia nchini Qatar mnamo Desemba 2,...