• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 10:01 AM

Omanyala sasa alenga dhahabu ya Riadha za Dunia 2023 na Olimpiki 2024

NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika na michezo ya Jumuiya ya Madola mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala ameweka malengo makubwa ambapo...

Tenisi ya Ferdinand Omanyala yavutia chipukizi 120

NA GEOFFREY ANENE WACHEZAJI 120 wamethibitisha kushiriki mashindano ya tenisi ya Ferdinand Omanyala 10s yatakayoleta pamoja watoto...

Mbappe afokewa vikali na wafuasi wa PSG

NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa MASHABIKI wa klabu ya Paris Saint-Germain wamemshutumu vikali supastaa Kylian Mbappe kutokana na tabia...

Roho mkononi Simbas wakisubiri kambi ya mazoezi raga SA

NA GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji 15 kila upande almaarufu Kenya Simbas ina mipango ya kujipiga msasa nchini Afrika...

Mwendwa aahidi kuongea na FIFA kuondoa marufuku

NA RUTH AREGE RAIS wa zamani wa Shirikisho la Soka la Kenya Nick Mwendwa amefichua kuwa, wakati wowote kutoka sasa Kenya itaachiliwa...

Kiambiu-Salem: Timu ya mashabiki wa Ingwe tawi mojawapo la Eastlands

NA PATRICK KILAVUKA KIOTA cha mashabiki wa Ingwe cha Kiambiu-Salem kimejengwa kwa msingi kwamba, ni timu ya soka ya mashabiki wa tawi la...

Kwangu 2022 umekuwa mwaka wenye mafanikio makubwa – Nyota Okutoyi

NA GEOFFREY ANENE MWANATENISI Angella Okutoyi ameelezea kufurahishwa na jinsi mwaka 2022 umemwendea. Akizungumza na Taifa Spoti baada...

Augsburg yaduwaza Bayern Munich ligini

Na MASHIRIKA BAYERN Munich waliduwazwa na Augsburg kwa kichapo cha 1-0 katika Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) mnamo...

Brighton waajiri kocha Roberto de Zerbi kujaza nafasi ya Graham Potter aliyeyoyomea Chelsea

Na MASHIRIKA BRIGHTON wameteua kocha wa zamani wa Shakhtar Donetsk na Sassuolo, Roberto de Zerbi, 43, kudhibiti mikoba yao ya ukufunzi kwa...

Lionel Messi aongoza PSG kuzamisha Lyon katika Ligi Kuu ya Ufaransa

Na MASHIRIKA LIONEL Messi alifungia Paris Saint-Germain (PSG) bao la pekee na la ushindi dhidi ya Olympique Lyon katika pambano la Ligi...

Limbukeni Monza waangusha miamba Juventus katika Ligi Kuu ya Italia

Na MASHIRIKA LIMBUKENI Monza waliduwaza miamba Juventus kwa kuwapokeza kichapo cha 1-0 katika Ligi Kuu ya Italia (Serie A) mnamo...

Real wakung’uta Atletico kwenye gozi la La Liga

Na MASHIRIKA REAL Madrid walipepeta Atletico Madrid 2-1 katika gozi la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) na kuendeleza rekodi nzuri ya...