NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza ARSENAL walikung’uta Brentford 3-0 ugani Gtech Community mnamo Jumapili na kurejea kileleni mwa...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Seline Ahoya akishirikiana na raia wa Misri Jina Elmashad walipoteza katika fainali ya mashindano ya Afrika ya...
Na AYUMBA AYODI KENYA ilikamilisha makala ya 12 ya mashindano ya ndondi ya Afrika katika nafasi ya 12 baada ya Nick "Commander" Okoth,...
NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Berlin Marathon mwaka 2015, 2017 na 2018 Eliud Kipchoge anaamini anaweza kuimarisha rekodi ya dunia ya mbio za...
NA GEOFFREY ANENE SELINE Ahoya alimlemea Miranda Ranaivosoa kwa seti mbili kavu katika robo-fainali ya mashindano ya Afrika ya tenisi ya...
Na MASHIRIKA JUVENTUS walipokea kichapo cha 2-1 kutoka kwa Benfica katika mechi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) iliyomzidishia kocha...
Na MASHIRIKA LIONEL Messi, Neymar Jr na Kylian Mbappe walifunga mabao na kusaidia waajiri wao Paris St-Germain (PSG) kupepeta Maccabi...
Na MASHIRIKA FOWADI Erling Haaland aliongoza Manchester City kutoka nyuma na kuzamisha chombo cha Borussia Dortmund 2-1 katika mchuano wa...
Na MASHIRIKA REAL Madrid walihitaji mabao mawili ya dakika za mwisho ili kukomoa RB Leipzig ya Ujerumani 2-0 katika gozi la Klabu Bingwa...
Na MASHIRIKA KOCHA Graham Potter, 47, alianza maisha kambini mwa Chelsea kwa sare ya 1-1 dhidi ya RB Salzburg ya Austria katika gozi la...
NA PATRICK KILAVUKA TIMU ya Sharp FC imejitokeza kuwa moto wa kuotea mbali ikiwa ni kitovu cha kutoa vipaji na kuvilea vyingine katika...
Na MASHIRIKA BAO la dakika za mwisho wa mchezo kutoka kwa beki Joel Matip liliwapa Liverpool ushindi wa 2-1 dhidi ya Ajax ya Uholanzi...