• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 5:50 AM

Arsenal wakomoa Brentford ugenini na kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza ARSENAL walikung’uta Brentford 3-0 ugani Gtech Community mnamo Jumapili na kurejea kileleni mwa...

Mwanatenisi Ahoya aaga mashindano ya Afrika ya kwanza Madagascar

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Seline Ahoya akishirikiana na raia wa Misri Jina Elmashad walipoteza katika fainali ya mashindano ya Afrika ya...

Hit Squad ya Kenya yamaliza nambari 12 mashindano ya Afrika

Na AYUMBA AYODI KENYA ilikamilisha makala ya 12 ya mashindano ya ndondi ya Afrika katika nafasi ya 12 baada ya Nick "Commander" Okoth,...

Kipchoge alenga rekodi Berlin Marathon

NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Berlin Marathon mwaka 2015, 2017 na 2018 Eliud Kipchoge anaamini anaweza kuimarisha rekodi ya dunia ya mbio za...

Mwanatenisi Seline Ahoya atinga nusu-fainali ya Afrika U14 nchini Madagascar

NA GEOFFREY ANENE SELINE Ahoya alimlemea Miranda Ranaivosoa kwa seti mbili kavu katika robo-fainali ya mashindano ya Afrika ya tenisi ya...

Benfica wakomoa Juventus na kuendeleza masaibu ya kocha Massimiliano Allegri jijini Turin

Na MASHIRIKA JUVENTUS walipokea kichapo cha 2-1 kutoka kwa Benfica katika mechi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) iliyomzidishia kocha...

PSG watoka nyuma na kuzamisha chombo cha Maccabi Haifa katika UEFA

Na MASHIRIKA LIONEL Messi, Neymar Jr na Kylian Mbappe walifunga mabao na kusaidia waajiri wao Paris St-Germain (PSG) kupepeta Maccabi...

Haaland atambisha Man-City dhidi ya Borussia Dortmund katika pambano la UEFA ugani Etihad

Na MASHIRIKA FOWADI Erling Haaland aliongoza Manchester City kutoka nyuma na kuzamisha chombo cha Borussia Dortmund 2-1 katika mchuano wa...

Real Madrid wapepeta RB Leipzig ya Ujerumani katika gozi la UEFA

Na MASHIRIKA REAL Madrid walihitaji mabao mawili ya dakika za mwisho ili kukomoa RB Leipzig ya Ujerumani 2-0 katika gozi la Klabu Bingwa...

Kocha Graham Potter aanza maisha Chelsea kwa sare ya 1-1 dhidi ya RB Salzburg katika UEFA

Na MASHIRIKA KOCHA Graham Potter, 47, alianza maisha kambini mwa Chelsea kwa sare ya 1-1 dhidi ya RB Salzburg ya Austria katika gozi la...

Sharp FC yajitia makali zaidi kuchochea vipaji

NA PATRICK KILAVUKA TIMU ya Sharp FC imejitokeza kuwa moto wa kuotea mbali ikiwa ni kitovu cha kutoa vipaji na kuvilea vyingine katika...

Liverpool wajinyanyua na kutandika Ajax 2-1 katika UEFA ugani Anfield

Na MASHIRIKA BAO la dakika za mwisho wa mchezo kutoka kwa beki Joel Matip liliwapa Liverpool ushindi wa 2-1 dhidi ya Ajax ya Uholanzi...