• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 10:55 AM

Lewandowski afunga mabao matatu na kusaidia Barcelona kuponda Viktoria Plzen katika UEFA

Na MASHIRIKA ROBERT Lewandowski alianza maandalizi ya kukutana na waajiri wake wa zamani, Bayern Munich, kwa kupachika wavuni mabao mabatu...

Bayern Munich wapepeta Inter Milan katika pambano la UEFA ugani San Siro

Na MASHIRIKA BAYERN Munich walianza kampeni yao katika Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Inter Milan katika pambano la...

Kocha Graham Potter kutua Chelsea baada ya Thomas Tuchel kutimuliwa

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza GRAHAM Potter ndiye anayepewa asilimia kubwa ya kuwa kocha mpya wa Chelsea, kujaza nafasi ya Thomas...

Kylian Mbappe aongoza PSG kuzamisha chombo cha Juventus katika UEFA

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alipachika wavuni mabao mawili na kusaidia waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kuanza kampeni za Klabu...

Haaland atambisha Man-City dhidi ya Sevilla katika UEFA

Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifunga mabao mawili na kusaidia Manchester City kufungua kampeni zao za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu...

Real Madrid waanza kutetea ufalme wa UEFA kwa ushindi dhidi ya Celtic

Na MASHIRIKA REAL Madrid walianza kutetea taji la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu kwa kutandika Celtic ya Scotland 3-0 katika gozi...

Everton na Liverpool waumiza nyasi bure katika gozi la EPL ugani Goodison Park

Na MASHIRIKA KOCHA Jurgen Klopp amekiri kuwa kusuasua kwa Liverpool “kumeanza kuzua hofu” baada ya makali yao kudidimia na miguu ya...

Montreal anayochezea Wanyama yang’ata Toronto MLS

Na GEOFFREY ANENE CF Montreal ilitoka chini mabao mawili na kunyamazisha wenyeji Toronto 4-0 kwenye Ligi Kuu ya Amerika na Canada (MLS)...

Mbappe na Messi watambisha PSG dhidi ya Nantes katika pambano la Ligi Kuu ya Ufaransa

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga mabao mawili kutokana na krosi za Lionel Messi katika mchuano wa Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1)...

Manchester United wapiga Arsenal breki kali EPL

Na MASHIRIKA SAJILI mpya wa Manchester United, Antony dos Santos alifunga bao katika mchuano wake wa kwanza kambini mwa miamba hao na...

Kenya yashindwa nyumbani na Nepal taji la ODI

Na VICTOR OTIENO WAGENI Nepal wametawazwa washindi wa mashindano ya kimataifa ya kriketi ya ODI wakisalia na mechi moja baada ya kubwaga...

Marcelo apata hifadhi mpya nchini Ugiriki baada ya kubanduka Real Madrid

Na MASHIRIKA BEKI mzoefu raia wa Brazil, Marcelo Vieira, ameingia katika sajili rasmi ya Olympiakos ya Ligi Kuu ya Ugiriki baada ya...