Na MASHIRIKA ROBERT Lewandowski alianza maandalizi ya kukutana na waajiri wake wa zamani, Bayern Munich, kwa kupachika wavuni mabao mabatu...
Na MASHIRIKA BAYERN Munich walianza kampeni yao katika Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Inter Milan katika pambano la...
NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza GRAHAM Potter ndiye anayepewa asilimia kubwa ya kuwa kocha mpya wa Chelsea, kujaza nafasi ya Thomas...
Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alipachika wavuni mabao mawili na kusaidia waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kuanza kampeni za Klabu...
Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifunga mabao mawili na kusaidia Manchester City kufungua kampeni zao za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu...
Na MASHIRIKA REAL Madrid walianza kutetea taji la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu kwa kutandika Celtic ya Scotland 3-0 katika gozi...
Na MASHIRIKA KOCHA Jurgen Klopp amekiri kuwa kusuasua kwa Liverpool “kumeanza kuzua hofu” baada ya makali yao kudidimia na miguu ya...
Na GEOFFREY ANENE CF Montreal ilitoka chini mabao mawili na kunyamazisha wenyeji Toronto 4-0 kwenye Ligi Kuu ya Amerika na Canada (MLS)...
Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga mabao mawili kutokana na krosi za Lionel Messi katika mchuano wa Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1)...
Na MASHIRIKA SAJILI mpya wa Manchester United, Antony dos Santos alifunga bao katika mchuano wake wa kwanza kambini mwa miamba hao na...
Na VICTOR OTIENO WAGENI Nepal wametawazwa washindi wa mashindano ya kimataifa ya kriketi ya ODI wakisalia na mechi moja baada ya kubwaga...
Na MASHIRIKA BEKI mzoefu raia wa Brazil, Marcelo Vieira, ameingia katika sajili rasmi ya Olympiakos ya Ligi Kuu ya Ugiriki baada ya...