Na MASHIRIKA BARCELONA wamejinasia huduma za beki wa kushoto raia wa Uhispania, Marcos Alonso, 31, aliyebanduka Chelsea akiwa na mwaka...
NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA KLABU za Ligi Kuu Uingereza (EPL) zimekuwa na shughuli nyingi zikitumia zaidi ya Sh236.2 bilioni...
IMETAYARISHWA NA CECIL ODONGO KOCHA wa Tottenham Hot Spurs Antonio Conte amesema kuwa huu ndio wakati ambapo mshambuliaji Harry Kane...
NA GEOFFREY ANENE WANABENKI wa KCB FC wamekamilisha shughuli ya kuimarisha kikosi baada ya kusajili wachezaji watano wapya huku Kamati...
IMETAYARISHWA NA CECIL ODONGO KOCHA wa Crystal Palace Patrick Viera amesisitiza kuwa nyota wake Wilfried Zaha hatahamia Chelsea au...
IMETAYARISHWA NA CHRIS ADUNGO UHUSIANO kati ya kipusa Alessia Messina, 29, na mfumaji wa zamani wa Manchester City na Liverpool, Mario...
NA GEOFFREY ANENE GABRIEL Jesus ni mshambulizi matata wa Arsenal inayoshiriki Ligi Kuu nchini Uingereza. Kinda huyu ametua kambini mwa...
Na GEOFFREY ANENE KIVUMBI kinatarajiwa wakati madereva 21 watawania pointi kwenye duru ya sita ya Mbio za Magari za Kitaifa Kenya (KNRC)...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United walisajili ushindi wao wa tatu mfululizo katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) chini ya kocha mpya Erik ten...
Na GEOFFREY ANENE KOCHA mkuu Damian McGrath ameita tena wachezaji saba wazoefu na kuwapa fursa watano wapya katika kikosi cha Kenya...
Na MASHIRIKA EVERTON wamemsajili upya kiungo Idrissa Gueye kutoka Paris Saint-Germain (PSG) kwa mkataba wa miaka miwili uliogharimu Sh286...
Na MASHIRIKA BARCELONA walisajili ushindi wa pili mfululizo katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya kukomoa Real Valladolid 4-0...