• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM

Barcelona wafaulu kumng’oa beki Marcos Alonso kambini mwa Chelsea

Na MASHIRIKA BARCELONA wamejinasia huduma za beki wa kushoto raia wa Uhispania, Marcos Alonso, 31, aliyebanduka Chelsea akiwa na mwaka...

Auba mali ya Chelsea dakika za lala salama

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA KLABU za Ligi Kuu Uingereza (EPL) zimekuwa na shughuli nyingi zikitumia zaidi ya Sh236.2 bilioni...

Conte: Ni wakati wa Kane kuongeza kandarasi yake

IMETAYARISHWA NA CECIL ODONGO KOCHA wa Tottenham Hot Spurs Antonio Conte amesema kuwa huu ndio wakati ambapo mshambuliaji Harry Kane...

KCB yasaini wachezaji watano zaidi kwa ajili ya Ligi Kuu

NA GEOFFREY ANENE WANABENKI wa KCB FC wamekamilisha shughuli ya kuimarisha kikosi baada ya kusajili wachezaji watano wapya huku Kamati...

GUMZO LA SPOTI: Mtangoja sana, Viera aambia Arsenal na Chelsea wanaommezea Wilfried Zaha

IMETAYARISHWA NA CECIL ODONGO KOCHA wa Crystal Palace Patrick Viera amesisitiza kuwa nyota wake Wilfried Zaha hatahamia Chelsea au...

VITUKO: Penzi la Balotelli na Messina laingia doa akirudia kichuna wa awali

IMETAYARISHWA NA CHRIS ADUNGO UHUSIANO kati ya kipusa Alessia Messina, 29, na mfumaji wa zamani wa Manchester City na Liverpool, Mario...

NYOTA WA WIKI: Gabriel Jesus

NA GEOFFREY ANENE GABRIEL Jesus ni mshambulizi matata wa Arsenal inayoshiriki Ligi Kuu nchini Uingereza. Kinda huyu ametua kambini mwa...

Karan Patel na Jasmeet Chana wanafufua uadui Nanyuki Rally

Na GEOFFREY ANENE KIVUMBI kinatarajiwa wakati madereva 21 watawania pointi kwenye duru ya sita ya Mbio za Magari za Kitaifa Kenya (KNRC)...

Man-United wapepeta Leicester City katika EPL ugani King Power

Na MASHIRIKA MANCHESTER United walisajili ushindi wao wa tatu mfululizo katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) chini ya kocha mpya Erik ten...

McGrath ajumuisha Injera kikosi cha Kombe la Dunia 2022

Na GEOFFREY ANENE KOCHA mkuu Damian McGrath ameita tena wachezaji saba wazoefu na kuwapa fursa watano wapya katika kikosi cha Kenya...

Kiungo Idrissa Gueye arejea Everton baada ya kuagana na PSG

Na MASHIRIKA EVERTON wamemsajili upya kiungo Idrissa Gueye kutoka Paris Saint-Germain (PSG) kwa mkataba wa miaka miwili uliogharimu Sh286...

Lewandowski atambisha Barcelona katika pambano la La Liga ugani Camp Nou

Na MASHIRIKA BARCELONA walisajili ushindi wa pili mfululizo katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya kukomoa Real Valladolid 4-0...