• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Arsenal watandika Bournemouth na kuendeleza ubabe wao katika EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL waliendeleza ubabe wao katika kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu kwa kutandika Bournemouth 3-0 mnamo...

VITUKO: Neuer ajiandaa kuishi na Anika raha mustarehe

IMETAYARISHWA NA CHRIS ADUNGO GOLIKIPA na nahodha wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani, Manuel Neuer, sasa anajiandaa kuishi...

Okutoyi tayari kutafuta ufanisi katika mechi ya mchezaji mmoja kila upande US Open

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Angella Okutoyi yuko tayari kwa mashindano ya tenisi ya chipukizi ya J1 Repentigny na US Open. Hata hivyo,...

NYOTA WA WIKI: Wilfried Zaha

NA GEOFFREY ANENE WILFRIED Zaha amevumisha klabu ya soka ya Crystal Palace kwa miaka 17. Zaha anayemezewa mate na Chelsea FC, ni mwerevu...

Arsenal yaendea AFC Bournemouth

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA ARSENAL wanalenga kuandikisha ushindi wa tatu mfululizo watakapokutana na AFC Bournemouth katika pambano...

Welbeck sasa kuchezea Brighton hadi Juni 2024

Na MASHIRIKA FOWADI Danny Welbeck, 30, sasa atachezea Brighton hadi Juni 2024 baada ya kutia saini mkataba mpya uwanjani...

Napoli wajinasia huduma za Tanguy Ndombele kutoka Tottenham

Na MASHIRIKA KIUNGO mahiri wa Ufaransa, Tanguy Ndombele, 25, amejiunga na Napoli ya Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kwa mkopo kutoka...

Man-United wafungulia mifereji ya fedha na kumsajili Casemiro kwa Sh8.4 bilioni kutoka Real Madrid

Na MASHIRIKA MANCHESTER United wameafikiana na Real Madrid kuhusu uhamisho wa kiungo matata wa Brazil, Casemiro, hadi uwanjani Old...

Kipa Opiyo akubali mkataba mpya kuchezea Ingwe

NA JOHN ASHIHUNDU HATIMAYE kipa Levis Opiyo amekubali kuendelea kuchezea AFC Leopards baada ya mlinda lango huyo kukubali mkataba mpya...

Chelsea na Tottenham watoshana nguvu katika gozi la EPL lililotawaliwa na hisia kali

Na MASHIRIKA KIZAAZAA na hisia kali zilizotamalaki pambano la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kati ya Chelsea na Tottenham Hotspur ugani...

Liverpool nguvu sawa na Crystal Palace katika EPL baada ya Nunez kuonyeshwa kadi nyekundu

Na MASHIRIKA FOWADI Luis Diaz alisaidia waajiri wake Liverpool kujizolea alama moja baada ya kulazimishia Crystal Palace sare ya 1-1...

Siraj apigana kuhakikisha amevalia jezi ya Harambee Stars

NA ABDULRAHMAN SHERIFF BEKI wa Bandari FC Mohamed Siraj amesema jana kuwa amepania kuongeza bidii kuhakikisha anaongeza kiwango cha...