Na MASHIRIKA NEYMAR Jr alipachika wavuni mabao mawili katika ushindi wa 5-2 uliosajiliwa na waajiri wake Paris St-Germain (PSG) dhidi ya...
Na MASHIRIKA BRENTFORD waliendeleza masaibu ya kocha Erik ten Hag na waajiri wake Manchester United mnamo Jumamosi usiku kwa kuwapokeza...
NA ABDULRAHMAN SHERIFF ALIYEKUWA mchezaji wa Black Panther FC, Mohamed Ali Obore ameunga mkono ombi lililotolewa la kutaka kuundwa timu...
IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO KOCHA Brendan Rodgers amesema kuwa nyota wake Wesley Fofana ametulia na kumakinikia kuchapa shughuli msimu...
NA GEOFFREY ANENE BEATRICE Chebet si jina geni katika ulingo wa riadha za Kenya na hata kimataifa. Katika miaka sita tangu Chebet...
NA JOHN KIMWERE TIMU ya warembo ya mpira wa magongo ya Titans ya Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU) imekaa pazuri kujikatia tiketi ya kufuzu...
NA JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya voliboli ya Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU) maarufu Assassins inajiandaa kukabili wapinzani wengine...
NA GEOFFREY ANENE WINGA wa kimataifa wa Kenya, Paul Were ameahidi makubwa waajiri wake wapya Rayon Sports nchini Rwanda. Wakati wa...
NA MASHIRIKA TORONTO, Canada SUPASTAA Serena Williams amekiri kuwa yeye si mzuri katika kupeana kwaheri baada ya Mwamerika huyo...
Na MASHIRIKA RB Leipzig wamemsajili upya fowadi Timo Werner kutoka Chelsea, miaka miwili baada ya sogora huyo raia wa Ujerumani kutua...
Na MASHIRIKA KARIM Benzema aliweka hai matumaini ya kuibuka mshindi wa taji la Ballon d’Or mwaka huu baada ya kufunga bao lake la 324...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamejiondoa katika mbio za kuwania maarifa ya mvamizi Marko Arnautovic kutoka kambini mwa Bologna. Kocha...