• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:42 PM

Neymar atambisha PSG dhidi ya Montpellier ligini

Na MASHIRIKA NEYMAR Jr alipachika wavuni mabao mawili katika ushindi wa 5-2 uliosajiliwa na waajiri wake Paris St-Germain (PSG) dhidi ya...

Brentford yadhalilisha Manchester United katika EPL

Na MASHIRIKA BRENTFORD waliendeleza masaibu ya kocha Erik ten Hag na waajiri wake Manchester United mnamo Jumamosi usiku kwa kuwapokeza...

KUMBUKUMBU ZA SPOTI: Jagina Obore aunga mkono kuundwa timu 2 Pwani ili kurejesha heshima ya soka

NA ABDULRAHMAN SHERIFF ALIYEKUWA mchezaji wa Black Panther FC, Mohamed Ali Obore ameunga mkono ombi lililotolewa la kutaka kuundwa timu...

GUMZO LA SPOTI: Rodgers aambia Chelsea kwamba Leicester City haiko tayari kumwachilia staa Fofana

IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO KOCHA Brendan Rodgers amesema kuwa nyota wake Wesley Fofana ametulia na kumakinikia kuchapa shughuli msimu...

STAA WA WIKI: Malkia mpya wa mbio za mita 5,000 anayefuata nyayo za Obiri

NA GEOFFREY ANENE BEATRICE Chebet si jina geni katika ulingo wa riadha za Kenya na hata kimataifa. Katika miaka sita tangu Chebet...

Hoki: Titans yajipatia miaka 5 ili kushiriki kipute cha Klabu Bingwa Afrika  

NA JOHN KIMWERE  TIMU ya warembo ya mpira wa magongo ya Titans ya Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU) imekaa pazuri kujikatia tiketi ya kufuzu...

Wanavoliboli wa KU wajiandaa kushiriki voliboli ya Kombe la Dunia FISU

NA JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya voliboli ya Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU) maarufu Assassins inajiandaa kukabili wapinzani wengine...

Winga wa kupanda na kushuka Paul Were sasa mali ya Rayon nchini Rwanda

NA GEOFFREY ANENE WINGA wa kimataifa wa Kenya, Paul Were ameahidi makubwa waajiri wake wapya Rayon Sports nchini Rwanda. Wakati wa...

Serena abanduliwa Canadian Open

NA MASHIRIKA TORONTO, Canada SUPASTAA Serena Williams amekiri kuwa yeye si mzuri katika kupeana kwaheri baada ya Mwamerika huyo...

Timo Werner arejea kambini mwa RB Leipzig baada ya kuagana na Chelsea

Na MASHIRIKA RB Leipzig wamemsajili upya fowadi Timo Werner kutoka Chelsea, miaka miwili baada ya sogora huyo raia wa Ujerumani kutua...

Benzema aongoza Real Madrid kukomoa Eintracht Frankfurt na kuzoa taji la Uefa Super Cup

Na MASHIRIKA KARIM Benzema aliweka hai matumaini ya kuibuka mshindi wa taji la Ballon d’Or mwaka huu baada ya kufunga bao lake la 324...

Man-United wajiondoa katika mbio za kumsajili fowadi Marko Arnautovic

Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamejiondoa katika mbio za kuwania maarifa ya mvamizi Marko Arnautovic kutoka kambini mwa Bologna. Kocha...