• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 5:50 AM

Alexis Sanchez ayoyomea Ufaransa kuchezea Olympique Marseille baada ya kukatiza uhusiano na Inter Milan ya Italia

Na MASHIRIKA   FOWADI wa zamani wa Arsenal, Manchester United na Barcelona, Alexis Sanchez, ametia saini mkataba wa miaka...

Bournemouth wasajili kipa mzoefu, Murara Neto, kutoka Barcelona

Na MASHIRIKA BOURNEMOUTH wamemsajili kipa matata raia wa Brazil, Murara Neto, kutoka Barcelona bila ada yoyote. Neto, 33, amekubali...

Korir kutetea taji la New York Marathon mnamo Novemba 6

Na GEOFFREY ANENE   MKENYA Albert Korir atatetea taji lake la mbio za New York Marathon nchini Amerika mnamo Novemba...

Joylove FC yapigwa jeki vifaa vya kuchezea

NA JOHN KIMWERE KOCHA na mwanzilishi wa klabu ya Joylove FC, Joyce Achieng ameingia ushirikiano na UEFA Foundation for Children and...

Haaland atambisha Man-City katika gozi la EPL dhidi ya West Ham

Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifungua akaunti yake ya mabao kambini mwa Manchester City kwa kupachika wavuni magoli yote katika ushindi...

Wolves waafikiana na Valencia kuhusu uhamisho wa mvamizi Goncalo Guedes hadi ugani Molineux

Na MASHIRIKA WOLVES wameafikiana na Valencia kuhusu uhamisho wa fowadi Goncalo Guedes hadi uwanjani Molineux kwa Sh3.9 bilioni. Mreno...

Brighton waangusha Man-Utd ya kocha Ten Hag katika EPL ugani Old Trafford

Na MASHIRIKA BRIGHTON walimkaribisha kocha Erik ten Hag wa Manchester United kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) hapo jana kwa kichapo...

Borussia Dortmund wakomoa Leverkusen katika Bundesliga

Na MASHIRIKA BAO la kipindi cha kwanza kutoka kwa Marco Reus lilisaidia Borussia Dortmund kuanza kampeni za Ligi Kuu ya Ujerumani...

Tottenham wapepeta Southampton 4-1 katika EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Antonio Conte ametaka mashabiki kutarajia makuu zaidi kutoka kwa Tottenham Hotspur muhula huu baada ya kikosi chake...

Liverpool wafungua kampeni za EPL 2022-23 kwa sare ya 2-2 dhidi ya Fulham

Na MASHIRIKA DARWIN Nunez alitokea benchi na kufunga bao kabla ya kuchangua jingine katika gozi la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)...

Arsenal wakomoa Crystal Palace katika mechi ya kwanza ya EPL msimu wa 2022-23

Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amesema kikosi chake cha Arsenal “kina kiu ya kuridhisha msimu huu” baada ya kuanza kampeni zao za...

Sadio Mane aongoza Bayern kubomoa Frankfurt katika Bundesliga

Na MASHIRIKA SADIO Mane alifunga bao katika mechi yake ya kwanza ya Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) na kusaidia Bayern Munich kuanza...