• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Okutoyi asalimu amri robo-fainali ya wachezaji wawili wawili Monastir

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Angella Okutoyi na mchezaji mwenza Akanksha Nitture wamebanduliwa katika robo-fainali ya shindano la tenisi la...

Team Kenya ya Davis Cup tayari kwa Kombe la Afrika tenisi

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya tenisi ya wanaume ya Kenya imekamilisha matayarisho na kupokea bendera ya taifa tayari kuondoka...

Wawira ashindia Kenya medali ya shaba Birmingham unyanyuaji uzani walemevu

Na GEOFFREY ANENE MNYANYUAJI uzani mlemavu Hellen Wawira ameshindia Kenya medali ya shaba mnamo Alhamisi jioni kwenye michezo ya Jumuiya...

Pigo kwa Everton fowadi tegemeo Dominic Calvert-Lewin akitarajiwa kusalia mkekani kwa wiki sita kuuguza jeraha la goti

Na MASHIRIKA FOWADI mahiri wa Everton, Dominic Calvert-Lewin, 25, anatarajiwa kukosa mechi za wiki zita za ufunguzi wa Ligi Kuu ya...

Pogba kusakata Kombe la Dunia

NA MASHIRIKA TURIN, Italia KIUNGO wa kimataifa, Paul Pogba hatahitaji upasuaji kutokana na jeraha la goti, na anatarajiwa kurudi...

Kipa Kasper Schmeichel ajiunga na Nice baada ya kuondoka Leicester City

Na MASHIRIKA NAHODHA wa Leicester City, kipa Kasper Schmeichel, 35, ameagana rasmi na kikosi hicho na kuyoyomea Ufaransa kuvalia jezi za...

Kibarua kigumu cha Okutoyi robo-fainali ya tenisi ya Monastir

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Angella Okutoyi na mchezaji mwenza Akanksha Nitture wanatarajiwa kupata kibarua kigumu katika robo-fainali ya...

Omanyala azoa taji la mbio za mita 100 Jumuiya ya Madola

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala sasa pia ni mfalme wa michezo ya Jumuiya ya Madola katika umbali...

Mkenya-Mserbia Odada ajiunga na Philadelphia Union nchini Amerika kwa Sh24 milioni

Na GEOFFREY ANENE KIUNGO wa mataifa ya Kenya na Serbia, Richard Odada amejiunga na Philadelphia Union inayoshiriki Ligi Kuu ya Amerika...

HOKI: Lakers yaendelea kujiimarisha iwe tishio kwa wapinzani katika Ligi Kuu

NA JOHN KIMWERE KLABU ya wanawake ya Lakers ni kati ya vikosi saba vinavyoshiriki kipute cha magongo ya Ligi Kuu msimu huu. Ingawa...

West Ham kukutana na Viborg FF ya Denmark au B36 ya Faroe Islands katika mchujo wa Europa Conference League 2022-23

Na MASHIRIKA WEST Ham United watakutana ama na Viborg FF ya Denmark au B36 kutoka Faroe Islands katika raundi ya kwanza ya mchujo wa...

Fulham wasajili kipa Bernd Leno kutoka Arsenal

Na MASHIRIKA FULHAM wamemsajili kipa raia wa Ujerumani, Bernd Leno kutoka Arsenal kwa mkataba wa miaka mitatu uliogharimu kima cha Sh1.1...