NA PATRICK KILAVUKA MWANAKANDANDA Yassin Robert, 26, anasema soka ilimfaa sana maishani kwa sababu ndio ilimwezesha kusoma ikizingatiwa...
Na MASHIRIKA FOWADI matata wa Liverpool, Diogo Jota, 25, ametia saini mkataba mpya utakaomdumisha uwanjani Anfield hadi mwaka wa...
Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya Uhispania, Cesc Fabregas, 35, amejiunga na klabu ya Como nchini Italia kwa mkataba wa...
NA PATRICK KILAVUKA KASIKASI FC, Kisa FC na Melta Kabiria Youth ndio mabingwa wa Ligi ya Kanda, Kaunti na Kaunti Ndogo, FKF Nairobi West...
Na MASHIRIKA KIUNGO mzoefu wa Wales, Aaron Ramsey, 31, amejiunga na klabu ya Nice ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) bila ada...
Na MASHIRIKA NYOTA Neymar alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kunyanyua taji la Trophee des...
Na MASHIRIKA WAREMBO wa Uingereza waliandikisha historia kwa kushinda taji la kwanza la mapambano ya haiba kubwa miongoni mwa wanawake...
Na MASHIRIKA PENALTI ya Debinha de Oliveira iliwazolea warembo wa Brazil taji la Copa America kwa mara ya nne mfululizo baada ya kukomoa...
Na MASHIRIKA GABRIEL Jesus alifunga mabao matatu katika mchuano wake wa kwanza ugani Emirates na kusaidia Arsenal kupepeta Sevilla 6-0...
Na MASHIRIKA WASHIKILIZI wa Kombe la FA, Liverpool, walituma onyo kali kwa wapinzani wao wakuu msimu huu baada ya kukomoa Manchester...
NA CHARLES ONGADI KENYA ilianza vibaya mashindano ya ndondi ya Jumuia ya Madola nahodha Nick ‘Commander' Okoth aliposhindwa na Keevin...
Na MASHIRIKA SADIO Mane alifunga bao lake la kwanza akiwa mchezaji wa Bayern Munich mnamo Jumamosi usiku na kusaidia miamba hao wa Ligi...