• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:42 PM

Talanta ya soka ilimpa fursa ya kusoma kupitia ufadhili na kumpa nafasi ya kujikuza

NA PATRICK KILAVUKA MWANAKANDANDA Yassin Robert, 26, anasema soka ilimfaa sana maishani kwa sababu ndio ilimwezesha kusoma ikizingatiwa...

Diogo Jota sasa kuchezea Liverpool hadi mwaka wa 2027

Na MASHIRIKA FOWADI matata wa Liverpool, Diogo Jota, 25, ametia saini mkataba mpya utakaomdumisha uwanjani Anfield hadi mwaka wa...

Cesc Fabregas ajiunga na Como FC inayoshiriki Ligi ya Serie B nchini Italia

Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya Uhispania, Cesc Fabregas, 35, amejiunga na klabu ya Como nchini Italia kwa mkataba wa...

Kasikasi FC, Kisa FC na Melta Kabiriah Youth ndio mabingwa wa kategoria mbalimbali za Ligi FKF

NA PATRICK KILAVUKA KASIKASI FC, Kisa FC na Melta Kabiria Youth ndio mabingwa wa Ligi ya Kanda, Kaunti na Kaunti Ndogo, FKF Nairobi West...

Ramsey apata hifadhi mpya katika klabu ya Nice nchini Ufaransa baada ya kutemwa na Juventus

Na MASHIRIKA KIUNGO mzoefu wa Wales, Aaron Ramsey, 31, amejiunga na klabu ya Nice ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) bila ada...

PSG yakomoa Nantes na kujizolea taji la Trophee des Champions nchini Ufaransa

Na MASHIRIKA NYOTA Neymar alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kunyanyua taji la Trophee des...

Vipusa wa Uingereza wapiga Ujerumani na kutwaa taji la Euro 2022

Na MASHIRIKA WAREMBO wa Uingereza waliandikisha historia kwa kushinda taji la kwanza la mapambano ya haiba kubwa miongoni mwa wanawake...

Warembo wa Brazil wazamisha Colombia na kutawazwa malkia wa Copa America

Na MASHIRIKA PENALTI ya Debinha de Oliveira iliwazolea warembo wa Brazil taji la Copa America kwa mara ya nne mfululizo baada ya kukomoa...

Arsenal wadhalilisha Sevilla huku Man-United wakipigwa na Atletico Madrid kirafiki

 Na MASHIRIKA GABRIEL Jesus alifunga mabao matatu katika mchuano wake wa kwanza ugani Emirates na kusaidia Arsenal kupepeta Sevilla 6-0...

Liverpool walipua Man-City katika gozi la Community Shield

Na MASHIRIKA WASHIKILIZI wa Kombe la FA, Liverpool, walituma onyo kali kwa wapinzani wao wakuu msimu huu baada ya kukomoa Manchester...

Ndondi: Okoth ajikwaa mashindano ya Madola nchini Uingereza

NA CHARLES ONGADI KENYA ilianza vibaya mashindano ya ndondi ya Jumuia ya Madola nahodha Nick ‘Commander' Okoth aliposhindwa na Keevin...

Sadio Mane afungua akaunti yake ya mabao kambini mwa Bayern Munich

Na MASHIRIKA SADIO Mane alifunga bao lake la kwanza akiwa mchezaji wa Bayern Munich mnamo Jumamosi usiku na kusaidia miamba hao wa Ligi...