Na MASHIRIKA SADIO Mane alifunga bao lake la kwanza akiwa mchezaji wa Bayern Munich mnamo Jumamosi usiku na kusaidia miamba hao wa Ligi...
Na MASHIRIKA LEICESTER City wamekataa ofa ya Sh5.7 bilioni kutoka kwa Newcastle United kwa ajili ya kiungo matata raia wa Uingereza,...
NA GEOFFREY ANENE PAULINE Kaveke kutoka Machakos na Vincent Kigen kutoka Iten wameibuka washindi wa makala ya pili ya Machakos Great Run...
NA GEOFFREY ANENE WAKENYA Patrick Kipng’eno na Joyce Njeru wametawala mbio za milimani za Kombe la Dunia la Valsir raundi ya Giir di...
NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza TIMU ya Arsenal itatumai kukamilisha matayarisho ya msimu mpya kwa kishindo itakapopepetana na Sevilla...
NA GEOFFREY ANENE MCHEZAJI aliye na umri mdogo kabisa katika timu ya taifa ya Kenya inayoshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola, Jenny...
NA GEOFFREY ANENE DEREVA mwanadada Maxine Wahome ametawazwa mwanamichezo bora nchini wa mwezi Juni katika tuzo ya kifahari ya...
NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa MIAKA tisa baada kuhamia Barcelona akitokea Brazil, sasa mshambuliaji matata Neymar anakabiliwa na kesi...
NA JOHN KIMWERE TIMU ya Chuo Kikuu cha Kiufundi cha Kenya (TUK) maarufu Stingers ni kati ya vikosi vya mpira wa magongo vinavyolenga...
Na MASHIRIKA KOCHA Steven Gerrard amemteua John McGinn kuwa nahodha mpya wa Aston Villa. Kiungo huyo raia wa Scotland mwenye umri wa...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamekamilisha uhamisho wa beki mzoefu raia wa Argentina, Lisandro Martinez, 24, kutoka Ajax ya Uholanzi kwa...
JOHN KIMWERE KIUNGO wa timu ya taifa Harambee Stars kwa wasiozidi umri wa miaka 23, Henry Ochieng amejiunga na Chelmsford City ambayo...