• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Sadio Mane afungua akaunti yake ya mabao kambini mwa Bayern Munich

Na MASHIRIKA SADIO Mane alifunga bao lake la kwanza akiwa mchezaji wa Bayern Munich mnamo Jumamosi usiku na kusaidia miamba hao wa Ligi...

Leicester wakataa Sh5.7 bilioni ambazo Newcastle wametoa kwa ajili ya kiungo James Maddison

Na MASHIRIKA LEICESTER City wamekataa ofa ya Sh5.7 bilioni kutoka kwa Newcastle United kwa ajili ya kiungo matata raia wa Uingereza,...

Kaveke, Kigen waonyesha wenzao kivumbi Machakos Great Run

NA GEOFFREY ANENE PAULINE Kaveke kutoka Machakos na Vincent Kigen kutoka Iten wameibuka washindi wa makala ya pili ya Machakos Great Run...

Kipng’eno na Njeru wabeba mataji mbio za mlimani Italia

NA GEOFFREY ANENE WAKENYA Patrick Kipng’eno na Joyce Njeru wametawala mbio za milimani za Kombe la Dunia la Valsir raundi ya Giir di...

Arsenal kwenye mizani ya Sevilla EPL ikinukia

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza TIMU ya Arsenal itatumai kukamilisha matayarisho ya msimu mpya kwa kishindo itakapopepetana na Sevilla...

Mchezaji mchanga kabisa Team Kenya tayari kwa Jumuiya ya Madola

NA GEOFFREY ANENE MCHEZAJI aliye na umri mdogo kabisa katika timu ya taifa ya Kenya inayoshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola, Jenny...

Dereva Maxine ashinda tuzo ya kifahari ya SJAK mwezi Juni

NA GEOFFREY ANENE DEREVA mwanadada Maxine Wahome ametawazwa mwanamichezo bora nchini wa mwezi Juni katika tuzo ya kifahari ya...

Neymar ashtakiwa fainali za Kombe la Dunia zikikaribia

NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa MIAKA tisa baada kuhamia Barcelona akitokea Brazil, sasa mshambuliaji matata Neymar anakabiliwa na kesi...

Stingers ya TUK yajitahidi ikilenga kushiriki Hoki ya Afrika (AHF)

NA JOHN KIMWERE TIMU ya Chuo Kikuu cha Kiufundi cha Kenya (TUK) maarufu Stingers ni kati ya vikosi vya mpira wa magongo vinavyolenga...

Aston Villa wampa kiungo John McGinn utepe wa unahodha

Na MASHIRIKA KOCHA Steven Gerrard amemteua John McGinn kuwa nahodha mpya wa Aston Villa. Kiungo huyo raia wa Scotland mwenye umri wa...

Lisandro Martinez sasa mali rasmi ya Man-United

Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamekamilisha uhamisho wa beki mzoefu raia wa Argentina, Lisandro Martinez, 24, kutoka Ajax ya Uholanzi kwa...

Chipukizi Mkenya asajiliwa na Chelmsford ya Uingereza

JOHN KIMWERE KIUNGO wa timu ya taifa Harambee Stars kwa wasiozidi umri wa miaka 23, Henry Ochieng amejiunga na Chelmsford City ambayo...