NA TOTO AREGE VIHIGA Queens wanapania kuaga dimba la Mashirikisho ya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa kishindo watakapomenyana...
NA CECIL ODONGO KOCHA wa Harambee Stars Engin Firat amekashifiwa vikali kwa kuwaacha nje wachezaji wa Gor Mahia, AFC Leopards na Tusker...
NA MWANGI MUIRURI LICHA ya kuonekana dhaifu katika mashindano ya ubingwa wa riadha duniani yaliyoandaliwa nchini Hungary, Kenya...
NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto ameongoza taifa kupongeza wanariadha walioiletea Kenya medali mbalimbali katika mashindano ya...
Na GEOFFREY ANENE KWA mara ya kwanza katika makala saba Kenya imetoka mikono mitupu katika mbio za kilomita 42 za wanawake kwenye Riadha...
Na GEOFFREY ANENE MAKUNDI ya duru ya tano ya raga za kitaifa za wachezaji saba kila upande ya Tisap Sevens yametangazwa, huku KCB wakipata...
NA TOTO AREGE MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Nchini (KWPL), Vihiga Queens, watafungua msimu wa 2023-24 dhidi ya wanajeshi...
CECIL ODONGO Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI wa Ubelgiji Romelu Lukaku amesimulia namna kwao walilelewa kwa maisha ya umaskini mkubwa na jinsi...
JOHN ASHIHUNDU Na MARY WANGARI WAZIRI wa Michezo, Maswala ya Vijana na Sanaa, Ababu Namwamba mnamo Jumatano alijitetea vikali mbele ya...
NA JOHN ASHIHUNDU SHIRIKISHO la Soka Nchini (FKF) limetangaza ratiba ya mechi za msimu mpya wa 2023/2024 utakaoanza rasmi...
NA TOTO AREGE WACHEZAJI watano wa timu ya wanabenki wa KCB ya Sataranji yaani chesi, wanatarajiwa kuondoka nchini mnamo Jumatano kuelekea...
NA MASHIRIKA KOCHA Mauricio Pochettino anakabiliwa na presha ya mapema kunyanyua Chelsea ambayo imeanza vibaya Ligi Kuu ya Uingereza...