• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 5:50 AM

Miamba Algeria waponea chupuchupu kinywani mwa Burkina Faso

Na MASHIRIKA BAO la dakika za mwisho kutoka kwa Baghdad Bounedjah liliwazolea miamba Algeria pointi ya pili katika Kundi D kwenye...

Cape Verde watandika Msumbiji na kudhibiti kilele cha Kundi B katika Afcon

Na MASHIRIKA TIAGO Manuel Bebe alifunga frikiki kutoka hatua ya 40 na kuongoza Cape Verde kutandika Msumbiji 3-0 katika mchuano wa pili wa...

Afcon: Senegal wakomoa Cameroon na kutinga hatua ya 16-bora

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Kombe la Afrika (Afcon), Senegal, walijikatia tiketi ya hatua ya 16-bora baada ya kupepeta Cameroon...

Arsenal wasambaratisha kasri la Crystal kwa ‘risasi’ tano

Na MASHIRIKA ARSENAL wamefufua matumaini yao ya kusalia miongoni mwa wagombezi halisi wa taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu wa...

Shabana yapigwa na Ulinzi ugani Raila Odinga

Na WYCLIFFE NYABERI MASAIBU ya klabu ya Shabana FC katika Ligi Kuu ya Kandanda nchini (FKF-PL) yanazidi kuongezeka baada ya timu hiyo...

Salah kukosa mechi ya Misri dhidi ya Cape Verde kwa sababu ya jeraha

Na MASHIRIKA MOHAMED Salah atakosa mechi muhimu ya Kombe la Afrika (Afcon) kati ya taifa lake la Misri na Cape Verde katika 'Kundi B'...

Refarii wa Kombe la Dunia afunga mkewe bao la mapenzi

NA CHRIS ADUNGO REFARII raia wa Argentina, Nestor Pitana, aliyepuliza kipenga kwenye fainali ya Kombe la Dunia iliyokutanisha Ufaransa na...

Afcon: Mataifa yaliyodunishwa yahangaisha mibabe

NA JOHN ASHIHUNDU TIMU zinazochukuliwa kuwa ni ndogo ambazo wengi walitarajia kuziona zikipigwa kwa mabao mengi katika mashindano ya...

Juma ‘Babu’ Abdalla adhibiti mikoba ya Murang’a Seal

Na MWANGI MUIRURI KOCHA Dennis ‘Wise’ Okoth amethibitisha kujiondoa kutoka timu ya soka ya Murang'a SEAL iliyo na asili yake katika...

Uchambuzi wa takwimu za mechi ya Tanzania dhidi ya Morocco

NA MWANGI MUIRURI TANZANIA ilianza vibaya mashindano ya taji la Taifa Bingwa Afrika (Afcon 2023) baada ya Morocco kuilambisha mabao...

Miamba Tunisia walivyofunzwa kabumbu na limbukeni Namibia

ABIDJAN, cote d’ ivore Tunisia ilijipata ikiangukia pua mbele ya limbukeni Namibia baada ya kupokea kichapo cha 1-0 kwenye Kundi E ugani...

Ni wakati wa Taifa Stars baada ya mbwembwe za Mandonga ‘Mtu Kazi’

Na MWANGI MUIRURI BAADA ya Tanzania kuburudisha vya kutosha kupitia visanga vya mwanabondia wao Karim Madonga 'Mtu Kazi' ambapo vichapo...