• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Tusker yatoa masharti kuachilia kipa Matasi

NA CECIL ODONGO UTATA mkubwa umezuka kati ya mabingwa wa Ligi Kuu (KPL) Tusker na Kenya Police kuhusu uhamisho wa mnyakaji wa Harambee...

Team Kenya yaapa kuandika historia michezo ya Jumuiya ya Madola Uingereza

AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE TEAM Kenya imetoa onyo kwa washiriki wa michezo ya Jumuiya ya Madola kuwa inalenga kuandikisha matokeo...

Ten Hag ang’ang’ana kudumisha CR7 Utd

NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KOCHA Erik ten Hag wa Manchester United anaendelea kumshawishi nyota Cristiano Ronaldo abakie...

Kibarua kigumu cha dereva Karan kushinda Afrika licha ya ushindi TZ

NA GEOFFREY ANENE MKENYA Karan Patel bado ana kibarua kigumu kuzuia Mzambia Leroy Gomes kutwaa ubingwa wa Mbio za Magari za Afrika (ARC)...

Juve Queens: Klabu yenye uwezo mkubwa wa kuinua talanta

NA PATRICK KILAVUKA JUVE Queens imelivalia njuga suala ya kuhakikisha akina dada wanapata mazingira bora ya kukuzia talanta zao na...

Warembo wa Ufaransa wabandua Uholanzi kwenye Euro 2022

Na MASHIRIKA KOCHA Corine Diacre wa Ufaransa amesema vipusa wake “wana kiu ya kuandikisha historia” baada ya kudengua mabingwa...

Oleksandr Zinchenko sasa mali rasmi ya Arsenal

Na MASHIRIKA ARSENAL wamekamilisha uhamisho wa Oleksandr Zinchenko, 25, kutoka Manchester City kwa Sh4.3 bilioni. Sogora huyo raia wa...

Atletico Madrid wasuka mpango wa kumsajili Ronaldo

Na MASHIRIKA ATLETICO Madrid wamefichua mpango wa kumtia fowadi Antoine Griezmann, 31, mnadani ili kufanikisha uhamisho wa Cristiano...

Mfalme wa soka Afrika

Na MASHIRIKA RABAT, Morocco SADIO Mane ameingia ligi ya wachezaji walioshinda tuzo ya mwanasoka bora (mwanamume) mara mbili barani...

Vipusa wa Uswidi kuvaana na Uingereza kwenye nusu-fainali za Euro baada ya kudengua Ubelgiji

Na MASHIRIKA KOCHA Peter Gerhardsson amesema Uswidi watahitaji “mpango kabambe zaidi” ili kudengua wenyeji Uingereza kwenye...

USIU yalenga kumaliza mashindano ikiwa miongoni mwa timu Tano Bora Duniani 

Na JOHN KIMWERE  TIMU ya wanawake ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha USIU ya mpira wa kikapu ni miongoni mwa vikosi vitakaoshiriki fainali...

Eric Johana Omondi ajiunga na klabu ya soka ya Muangthong United nchini Thailand

NA GEOFFREY ANENE MCHEZAJI wa kimataifa wa Harambee Stars, Eric Johana Omondi amejiunga na Muangthong inayoshiriki Ligi Kuu nchini...