NA CECIL ODONGO UTATA mkubwa umezuka kati ya mabingwa wa Ligi Kuu (KPL) Tusker na Kenya Police kuhusu uhamisho wa mnyakaji wa Harambee...
AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE TEAM Kenya imetoa onyo kwa washiriki wa michezo ya Jumuiya ya Madola kuwa inalenga kuandikisha matokeo...
NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KOCHA Erik ten Hag wa Manchester United anaendelea kumshawishi nyota Cristiano Ronaldo abakie...
NA GEOFFREY ANENE MKENYA Karan Patel bado ana kibarua kigumu kuzuia Mzambia Leroy Gomes kutwaa ubingwa wa Mbio za Magari za Afrika (ARC)...
NA PATRICK KILAVUKA JUVE Queens imelivalia njuga suala ya kuhakikisha akina dada wanapata mazingira bora ya kukuzia talanta zao na...
Na MASHIRIKA KOCHA Corine Diacre wa Ufaransa amesema vipusa wake “wana kiu ya kuandikisha historia” baada ya kudengua mabingwa...
Na MASHIRIKA ARSENAL wamekamilisha uhamisho wa Oleksandr Zinchenko, 25, kutoka Manchester City kwa Sh4.3 bilioni. Sogora huyo raia wa...
Na MASHIRIKA ATLETICO Madrid wamefichua mpango wa kumtia fowadi Antoine Griezmann, 31, mnadani ili kufanikisha uhamisho wa Cristiano...
Na MASHIRIKA RABAT, Morocco SADIO Mane ameingia ligi ya wachezaji walioshinda tuzo ya mwanasoka bora (mwanamume) mara mbili barani...
Na MASHIRIKA KOCHA Peter Gerhardsson amesema Uswidi watahitaji “mpango kabambe zaidi” ili kudengua wenyeji Uingereza kwenye...
Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha USIU ya mpira wa kikapu ni miongoni mwa vikosi vitakaoshiriki fainali...
NA GEOFFREY ANENE MCHEZAJI wa kimataifa wa Harambee Stars, Eric Johana Omondi amejiunga na Muangthong inayoshiriki Ligi Kuu nchini...