Na MASHIRIKA VIPUSA wa Uingereza walifuzu kwa nusu-fainali za Euro 2022 mwaka huu baada ya kutoka nyuma na kukomoa Uhispania 2-1 katika...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA Angella Okutoyi ameeleza kufurahishwa na wadhamini kuanza kujitokeza kumpiga jeki baada ya kampuni ya kutoa...
Na MASHIRIKA MELBOUNE, Australia Nahodha wa Manchester United, Harry Maguire ameendelea kukabiliana na foka za mashabiki, licha ya...
Na GEOFFREY ANENE MNYANYUAJI wa zamani wa kimataifa wa Kenya Alex Otieno ameelezea furaha yake baada ya mwanzilishi wa Machakos Great...
NA JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya Maafande wa Nyanza Prisons ni kati ya vikosi ambavyo hushiriki kipute cha voliboli ya Ligi Kuu...
Na MASHIRIKA WAREMBO wa Iceland waliaga kipute cha Euro 2022 baada ya kulazimishiwa sare ya 1-1 na Ufaransa mnamo Jumatatu usiku...
Na MASHIRIKA VIPUSA wa Ubelgiji walitinga robo-fainali za Euro 2022 kwa mara ya kwanza katika historia baada ya kupepeta Italia 1-0...
Na MASHIRIKA KIGOGO Zlatan Ibrahimovic amerefusha muda wa kuhudumu kwake kambini mwa AC Milan ya Italia kwa mkataba wa mwaka mmoja...
Na MASHIRIKA ARSENAL wameafikiana na Manchester City kuhusu uhamisho wa nyota Oleksandr Zinchenko, hadi uwanjani Emirates kwa Sh4.2...
NA MASHIRIKA BEKI Lisandro Martinez, 24, anatarajiwa kupiga jeki safu ya ulinzi ya Manchester United baada ya kuagana na Ajax ya Ligi...
NA GEOFFREY ANENE KENYA iliridhika na medali ya fedha katika marathon za kinadada kupitia kwa Judith Jeptum Korir kwenye Riadha za Dunia...
Na JOHN KIMWERE MAKARIOS 111 FC (Riruta United) imeendelea kupata matokeo mema kwenye mechi za Kundi B Ligi ya Taifa Daraja la Pili...