NA JOHN KIMWERE KIUNGO wa zamani wa Chemelil Sugar, William Oricho anataka kurejea kushiriki kampeni za Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka...
Na MASHIRIKA MABANATI wa Uswidi walitinga robo-fainali za Euro 2022 mnamo Jumapili kwa kufunga mabao matatu katika kipindi cha kwanza na...
Na MASHIRIKA BEKI Lisandro Martinez, 24, anatarajiwa kupiga jeki safu ya nyuma ya Manchester United baada ya kuagana na Ajax ya Ligi Kuu...
Na MASHIRIKA MALKIA mara nane wa Euro za wanawake, Ujerumani, walitamatisha kampeni za Kundi B katika kipute hicho kwa ushindi wa 3-0...
Na MASHIRIKA BARCELONA wameafikiana na Bayern Munich kuhusu uhamisho wa fowadi matata raia wa Poland, Robert Lewandowski hadi uwanjani...
Na JOHN KIMWERE MCHEZAJI wa zamani wa Gor Mahia FC, Moses 'Dube' Odhiambo ameteuliwa kocha mkuu wa Meru Mutindwa Bombers ya Ligi ya...
AYUMBA AYODI na GAKENIA MWIGE KOCHA mkuu wa Kenya Shujaa, Damian McGrath atasikitika ikiwa vijana wake hawatafika awamu ya muondoano...
Na MASHIRIKA CHELSEA wamejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili fowadi mahiri wa Manchester United, Cristiano Ronaldo. Mreno...
Na MASHIRIKA UFARANSA walitinga robo-fainali za Euro za Wanawake wakisalia na mechi moja zaidi katika Kundi D baada ya kupepeta Ubelgiji...
NA JOHN KIMWERE TIMU ya KCB FC imetema wachezaji watano kwenye mikakati ya kujipanga upya tayari kushiriki kampeni za Ligi Kuu ya...
NA MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA SUPASTAA Cristiano Ronaldo yumo mbioni kunyakuliwa na klabu moja nchini Saudi Arabia kutoka...
NA GEOFFREY ANENE NYOTA Ferdinand Omanyala ametuliza nyoyo za Wakenya baada ya hatimaye kusafiri kuelekea Amerika, Alhamisi kukurupuka...