• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Oricho amepania kurejea kuchezea klabu za Ligi Kuu ya FKF-PL

NA JOHN KIMWERE KIUNGO wa zamani wa Chemelil Sugar, William Oricho anataka kurejea kushiriki kampeni za Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka...

Warembo wa Uswidi na Uholanzi waingia robo-fainali za Euro 2022

Na MASHIRIKA MABANATI wa Uswidi walitinga robo-fainali za Euro 2022 mnamo Jumapili kwa kufunga mabao matatu katika kipindi cha kwanza na...

Man-United wafungulia mirefeji ya fedha na kumsajili beki Lisandro Martinez kutoka Ajax

Na MASHIRIKA BEKI Lisandro Martinez, 24, anatarajiwa kupiga jeki safu ya nyuma ya Manchester United baada ya kuagana na Ajax ya Ligi Kuu...

Vipusa wa Ujerumani wakomoa Finland na kujikatia tiketi ya kuonana na Austria kwenye robo-fainali za Euro 2022

Na MASHIRIKA MALKIA mara nane wa Euro za wanawake, Ujerumani, walitamatisha kampeni za Kundi B katika kipute hicho kwa ushindi wa 3-0...

Barcelona waafikiana na Bayern kuhusu uhamisho wa Robert Lewandowski hadi Camp Nou

Na MASHIRIKA BARCELONA wameafikiana na Bayern Munich kuhusu uhamisho wa fowadi matata raia wa Poland, Robert Lewandowski hadi uwanjani...

Mchezaji wa zamani wa Simba, Gor kunoa Meru Bombers

Na JOHN KIMWERE MCHEZAJI wa zamani wa Gor Mahia FC, Moses 'Dube' Odhiambo ameteuliwa kocha mkuu wa Meru Mutindwa Bombers ya Ligi ya...

Michezo ya Jumuiya ya Madola: McGrath asema Shujaa imeiva kuhangaisha Uganda, Jamaica katika Kundi D

AYUMBA AYODI na GAKENIA MWIGE KOCHA mkuu wa Kenya Shujaa, Damian McGrath atasikitika ikiwa vijana wake hawatafika awamu ya muondoano...

Chelsea wasema hawana haja na Ronaldo tena

Na MASHIRIKA CHELSEA wamejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili fowadi mahiri wa Manchester United, Cristiano Ronaldo. Mreno...

Vipusa wa Ufaransa sasa kuvaana na Uholanzi kwenye robo-fainali za Euro baada ya kukomoa Ubelgiji katika Kundi D

Na MASHIRIKA UFARANSA walitinga robo-fainali za Euro za Wanawake wakisalia na mechi moja zaidi katika Kundi D baada ya kupepeta Ubelgiji...

KCB FC ya Ligi Kuu ya FKF-PL yatema wachezaji watano

NA JOHN KIMWERE TIMU ya KCB FC imetema wachezaji watano kwenye mikakati ya kujipanga upya tayari kushiriki kampeni za Ligi Kuu ya...

Masonko Saudia wamezea Ronaldo

NA MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA SUPASTAA Cristiano Ronaldo yumo mbioni kunyakuliwa na klabu moja nchini Saudi Arabia kutoka...

Omanyala akiuka kisiki, asema atafana Amerika

NA GEOFFREY ANENE NYOTA Ferdinand Omanyala ametuliza nyoyo za Wakenya baada ya hatimaye kusafiri kuelekea Amerika, Alhamisi kukurupuka...