NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa kimataifa, Raheem Sterling, 27, amejiunga na Chelsea kwa mkataba wa miaka mitano...
Na GEOFFREY ANENE KOCHA Paul Odera amekiri kuwa vijana wake wa Kenya Simbas walifanya makosa mengi yaliyochangia wapoteze 36-0 dhidi ya...
NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Nick Mwendwa hakufika katika mahakama ya Kiambu kujibu mashtaka...
Na MASHIRIKA BRASILIA, Brazil DIFENDA Thiago Silva wa Chelsea amemsihi Neymar ajiunge na klabu hiyo ya Stamford Bridge, iwapo ataamua...
NA JOHN KIMWERE KLABU tano za Ligi Kuu Nchini (FKF-PL) zinawinda huduma za mchana nyavu shupavu, Francis Kahiro ambaye husakatia FC...
Na GEOFFREY ANENE WAZIRI wa Michezo Amina Mohamed ameahidi kuwa mwanatenisi Angella Okutoyi atapata usaidizi kutoka kwa serikali kwenye...
Na AYUMBA AYODI BINGWA wa Afrika mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala ni miongoni mwa wanariadha sita ambao bado wanahangaika kupata...
NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Nick Mwendwa atafika katika mahakama ya Kiambu leo Jumanne kujibu...
Na MASHIRIKA KIUNGO Paul Pogba sasa atakuwa miongoni mwa wanasoka wanaodumishwa kwa mshahara wa juu zaidi katika Ligi Kuu ya Italia...
Na MASHIRIKA WAREMBO wa Ufaransa walituma onyo kali kwa wapinzani wao kwenye fainali za Euro mwaka huu kwa kuponda Italia 5-1 katika...
NA JOHN KIMWERE MWANASOKA wa kimataifa wa kike Mkenya, Esse Akida amerefusha mkataba wake na klabu ya PAOK Thessaloniki, nchini Uturuki...
Na GEOFFREY ANENE MADEREVA Jeremiah Wahome, Maxine Wahome na Hamza Anwar wameratibiwa kuondoka nchini leo Julai 11 usiku kuelekea...