• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Sterling kirasmi aingia Chelsea

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa kimataifa, Raheem Sterling, 27, amejiunga na Chelsea kwa mkataba wa miaka mitano...

Raga: Odera akiri makosa yaliponza Kenya Simbas dhidi ya Namibia

Na GEOFFREY ANENE KOCHA Paul Odera amekiri kuwa vijana wake wa Kenya Simbas walifanya makosa mengi yaliyochangia wapoteze 36-0 dhidi ya...

Mwendwa akosa kufika kortini tena

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Nick Mwendwa hakufika katika mahakama ya Kiambu kujibu mashtaka...

Silva asihi Neymar ahamie Chelsea

Na MASHIRIKA BRASILIA, Brazil DIFENDA Thiago Silva wa Chelsea amemsihi Neymar ajiunge na klabu hiyo ya Stamford Bridge, iwapo ataamua...

Timu 5 zawinda huduma zake Kahiro wa FC Talanta

NA JOHN KIMWERE KLABU tano za Ligi Kuu Nchini (FKF-PL) zinawinda huduma za mchana nyavu shupavu, Francis Kahiro ambaye husakatia FC...

Okutoyi atafaidi usaidizi wa Serikali kwenye US Open

Na GEOFFREY ANENE WAZIRI wa Michezo Amina Mohamed ameahidi kuwa mwanatenisi Angella Okutoyi atapata usaidizi kutoka kwa serikali kwenye...

Omanyala bado hajapata ruhusa kuenda Amerika Riadha za Dunia

Na AYUMBA AYODI BINGWA wa Afrika mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala ni miongoni mwa wanariadha sita ambao bado wanahangaika kupata...

Mwendwa kushtakiwa upya mahakamani leo Jumanne

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Nick Mwendwa atafika katika mahakama ya Kiambu leo Jumanne kujibu...

Paul Pogba arejea Juventus baada ya kuondoka Man-United

Na MASHIRIKA KIUNGO Paul Pogba sasa atakuwa miongoni mwa wanasoka wanaodumishwa kwa mshahara wa juu zaidi katika Ligi Kuu ya Italia...

Vipusa wa Ufaransa wakomoa Italia na kuwapa onyo wapinzani wao kwenye fainali za Euro 2022

Na MASHIRIKA WAREMBO wa Ufaransa walituma onyo kali kwa wapinzani wao kwenye fainali za Euro mwaka huu kwa kuponda Italia 5-1 katika...

Akida arefusha mkataba wake na PAOK ya Uturuki

NA JOHN KIMWERE MWANASOKA wa kimataifa wa kike Mkenya, Esse Akida amerefusha mkataba wake na klabu ya PAOK Thessaloniki, nchini Uturuki...

Madereva chipukizi wa Kenya waelekea Estonia kushangilia McRae Kimathi

Na GEOFFREY ANENE MADEREVA Jeremiah Wahome, Maxine Wahome na Hamza Anwar wameratibiwa kuondoka nchini leo Julai 11 usiku kuelekea...