• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Madereva chipukizi wa Kenya waelekea Estonia kushangilia McRae Kimathi

Na GEOFFREY ANENE MADEREVA Jeremiah Wahome, Maxine Wahome na Hamza Anwar wameratibiwa kuondoka nchini leo Julai 11 usiku kuelekea...

Man-United wampa Ronaldo makataa ya kurejea kambini au la, atemwe kabisa kikosini

Na MASHIRIKA KOCHA Erik ten Hag amempa Cristiano Ronaldo hadi mwisho wa wiki hii kujiunga na wenzake kambini mwa Man-United au la,...

Kipng’eno na Njeru watawala mbio za milimani Austria

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Patrick Kipng’eno na Joyce Njeru walifagia mataji ya mbio za milimani za Grossglockner Berglauf mjini...

Maafande wa APS Bomet wazidi kukaa kileleni Ligi ya NSL

NA JOHN KIMWERE VINARA wa ngarambe ya Supa Ligi ya Taifa (NSL), Maafande wa APs Bomet waliendelea kujiongezea tumaini la kuzoa tiketi ya...

Sterling mbioni kuingia Chelsea

NA MASHIRIKA RAHEEM Sterling sasa yuko pua na mdomo kuingia katika sajili rasmi ya Chelsea baada ya kikosi hicho kuafikiana na...

Uholanzi waanza kutetea taji la Euro 2022 kwa wanawake kwa sare ya 1-1 dhidi ya Uswidi

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Euro za wanawake, Uholanzi, walifungua kampeni zao za Kundi C kwenye fainali za kipute hicho mwaka huu...

Euro 2022: Vipusa wa Ureno watoka nyuma na kulazimishia Uswisi sare ya 2-2

Na MASHIRIKA WAREMBO wa Ureno walitoka nyuma kwa mabao mawili kwa nunge na kulazimishia Uswisi sare ya 2-2 katika mchuano wa ufunguzi wa...

Blatter, Platini waponea kifungo kwa kuondolewa madai ya ulaghai

NA MASHIRIKA BELLINZONA, Uswisi SEPP Blatter na Michel Platini wamepatikana na mahakama nchini Uswisi bila hatia ya ulaghai baada ya...

Angel Di Maria ajiunga na Juventus bila ada yoyote baada ya kuondoka PSG

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI mzoefu wa timu ya taifa ya Argentina, Angel di Maria, 34, amejiunga na Juventus ya Italia baada ya mkataba...

West Ham wajinasia maarifa ya beki Flynn Downes kutoka Swansea City

Na MASHIRIKA WEST Ham United wamejinasia huduma za kiungo mahiri wa Swansea City, Flynn Downes, 23, kwa mkataba wa miaka mitano...

Kimathi atua Ulaya kutafuta pointi Rally Estonia

Na GEOFFREY ANENE DEREVA McRae Kimathi anatumai mambo yatamwendea vyema kwenye duru ya nne ya Mbio za Magari za Dunia za Chipukizi...

Man-Utd yamtega staa Antony na Sh7.2 bilioni

NA MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA ‘MASHETANI WEKUNDU’ Manchester United wameweka mnadani Sh7.2 bilioni kumtwaa mshambulizi...