• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 12:48 PM

Mwendwa kushtakiwa upya mahakamani leo Jumanne

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Nick Mwendwa atafika katika mahakama ya Kiambu leo Jumanne kujibu...

Paul Pogba arejea Juventus baada ya kuondoka Man-United

Na MASHIRIKA KIUNGO Paul Pogba sasa atakuwa miongoni mwa wanasoka wanaodumishwa kwa mshahara wa juu zaidi katika Ligi Kuu ya Italia...

Vipusa wa Ufaransa wakomoa Italia na kuwapa onyo wapinzani wao kwenye fainali za Euro 2022

Na MASHIRIKA WAREMBO wa Ufaransa walituma onyo kali kwa wapinzani wao kwenye fainali za Euro mwaka huu kwa kuponda Italia 5-1 katika...

Akida arefusha mkataba wake na PAOK ya Uturuki

NA JOHN KIMWERE MWANASOKA wa kimataifa wa kike Mkenya, Esse Akida amerefusha mkataba wake na klabu ya PAOK Thessaloniki, nchini Uturuki...

Madereva chipukizi wa Kenya waelekea Estonia kushangilia McRae Kimathi

Na GEOFFREY ANENE MADEREVA Jeremiah Wahome, Maxine Wahome na Hamza Anwar wameratibiwa kuondoka nchini leo Julai 11 usiku kuelekea...

Man-United wampa Ronaldo makataa ya kurejea kambini au la, atemwe kabisa kikosini

Na MASHIRIKA KOCHA Erik ten Hag amempa Cristiano Ronaldo hadi mwisho wa wiki hii kujiunga na wenzake kambini mwa Man-United au la,...

Kipng’eno na Njeru watawala mbio za milimani Austria

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Patrick Kipng’eno na Joyce Njeru walifagia mataji ya mbio za milimani za Grossglockner Berglauf mjini...

Maafande wa APS Bomet wazidi kukaa kileleni Ligi ya NSL

NA JOHN KIMWERE VINARA wa ngarambe ya Supa Ligi ya Taifa (NSL), Maafande wa APs Bomet waliendelea kujiongezea tumaini la kuzoa tiketi ya...

Sterling mbioni kuingia Chelsea

NA MASHIRIKA RAHEEM Sterling sasa yuko pua na mdomo kuingia katika sajili rasmi ya Chelsea baada ya kikosi hicho kuafikiana na...

Uholanzi waanza kutetea taji la Euro 2022 kwa wanawake kwa sare ya 1-1 dhidi ya Uswidi

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Euro za wanawake, Uholanzi, walifungua kampeni zao za Kundi C kwenye fainali za kipute hicho mwaka huu...

Euro 2022: Vipusa wa Ureno watoka nyuma na kulazimishia Uswisi sare ya 2-2

Na MASHIRIKA WAREMBO wa Ureno walitoka nyuma kwa mabao mawili kwa nunge na kulazimishia Uswisi sare ya 2-2 katika mchuano wa ufunguzi wa...

Blatter, Platini waponea kifungo kwa kuondolewa madai ya ulaghai

NA MASHIRIKA BELLINZONA, Uswisi SEPP Blatter na Michel Platini wamepatikana na mahakama nchini Uswisi bila hatia ya ulaghai baada ya...