NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Nick Mwendwa atafika katika mahakama ya Kiambu leo Jumanne kujibu...
Na MASHIRIKA KIUNGO Paul Pogba sasa atakuwa miongoni mwa wanasoka wanaodumishwa kwa mshahara wa juu zaidi katika Ligi Kuu ya Italia...
Na MASHIRIKA WAREMBO wa Ufaransa walituma onyo kali kwa wapinzani wao kwenye fainali za Euro mwaka huu kwa kuponda Italia 5-1 katika...
NA JOHN KIMWERE MWANASOKA wa kimataifa wa kike Mkenya, Esse Akida amerefusha mkataba wake na klabu ya PAOK Thessaloniki, nchini Uturuki...
Na GEOFFREY ANENE MADEREVA Jeremiah Wahome, Maxine Wahome na Hamza Anwar wameratibiwa kuondoka nchini leo Julai 11 usiku kuelekea...
Na MASHIRIKA KOCHA Erik ten Hag amempa Cristiano Ronaldo hadi mwisho wa wiki hii kujiunga na wenzake kambini mwa Man-United au la,...
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Patrick Kipng’eno na Joyce Njeru walifagia mataji ya mbio za milimani za Grossglockner Berglauf mjini...
NA JOHN KIMWERE VINARA wa ngarambe ya Supa Ligi ya Taifa (NSL), Maafande wa APs Bomet waliendelea kujiongezea tumaini la kuzoa tiketi ya...
NA MASHIRIKA RAHEEM Sterling sasa yuko pua na mdomo kuingia katika sajili rasmi ya Chelsea baada ya kikosi hicho kuafikiana na...
Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Euro za wanawake, Uholanzi, walifungua kampeni zao za Kundi C kwenye fainali za kipute hicho mwaka huu...
Na MASHIRIKA WAREMBO wa Ureno walitoka nyuma kwa mabao mawili kwa nunge na kulazimishia Uswisi sare ya 2-2 katika mchuano wa ufunguzi wa...
NA MASHIRIKA BELLINZONA, Uswisi SEPP Blatter na Michel Platini wamepatikana na mahakama nchini Uswisi bila hatia ya ulaghai baada ya...