• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Divock Origi abanduka Liverpool na kuingia katika sajili rasmi ya AC Milan

Na MASHIRIKA ALIYEKUWA fowadi wa Liverpool, Divock Origi, ameingia rasmi katika sajili rasmi ya AC Milan ya Ligi Kuu ya Italia (Serie A)...

West Ham wasajili kipa matata wa PSG, Alphonse Areola, kwa mkataba wa miaka mitano

Na MASHIRIKA WEST Ham United wameimarisha zaidi safu yao ya ulinzi kwa kumsajili kipa mzoefu wa Paris Saint-Germain (PSG), Alphonse...

Rooney kurudi shule kusomea ukocha baada ya kuondoka Derby County

Na MASHIRIKA WAYNE Rooney amefichua mpango wa kujifunza zaidi ukocha baada ya kuagana na Derby County akiwa bado na mwaka mmoja katika...

West Ham United wamvizia Jesse Lingard kutoka Manchester United

Na MASHIRIKA WEST Ham United wamefichua mpango wa kusajili upya kiungo mvamizi wa Manchester United, Jesse Lingard. Nyota huyo raia...

Shikanda ashukuru Ingwe kumwamini

NA JOHN ASHIHUNDU MWANASOKA mstaafu, Dan Shikanda amewapongeza wanachama wa AFC Leopards kwa kumchagua tena kusimamia klabu hiyo kwa...

Arsenal wapata kipa mpya kutoka Amerika

Na MASHIRIKA KIPA wa timu ya taifa ya Amerika, Matt Turner, amesema amefaulu “kutimiza ndoto yake kitaaluma” baada ya kuingia katika...

Kocha Wayne Rooney ataka vinara wa Derby County wamwachishe kazi haraka iwezekanavyo

Na MASHIRIKA WAYNE Rooney ametaka wasimamizi wa klabu ya Derby County “kumwachisha kazi ya ukocha mara moja.” Rooney, 36, angali...

Liverpool na Salah wavutania mshahara

Na MASHIRIKA LIVERPOOL watakuwa radhi kuachilia mfumaji Mohamed Salah kuyoyomea Real iwapo wafalme hao wa Ligi Kuu ya Uhispania (La...

Hii ya Ronaldo kuenda Chelsea ni hatari!

Na MASHIRIKA HUENDA Cristiano Ronaldo akabanduka ugani Old Trafford muhula huu na kuyoyomea Stamford Bridge kuvalia jezi za Chelsea...

Rovanpera mfalme mpya Safari Rally, Toyota iking’aa

Na GEOFFREY ANENE NYOTA ya dereva chipukizi Kalle Rovanpera iliendelea kung’aa baada ya kuponyoka na taji la duru ya sita ya Mbio za...

FIFA yaidhinisha vikosi vya masogora 26 kwa ajili ya Kombe la Dunia 2022

Na MASHIRIKA SHIRIKISHO la Soka Duniani (FIFA) limeidhinisha ombi la washiriki wa Kombe la Dunia mwaka huu nchini Qatar kutaja vikosi...

Man-City wang’oa Kalvin Phillips kambini mwa Leeds United ili kujaza nafasi ya Fernandinho

NA MASHIRIKA MANCHESTER City wameafikiana na Leeds United kumsajili kiungo wa Uingereza, Kalvin Phillips kwa Sh6.6 bilioni ili kujaza...