Na MASHIRIKA ALIYEKUWA fowadi wa Liverpool, Divock Origi, ameingia rasmi katika sajili rasmi ya AC Milan ya Ligi Kuu ya Italia (Serie A)...
Na MASHIRIKA WEST Ham United wameimarisha zaidi safu yao ya ulinzi kwa kumsajili kipa mzoefu wa Paris Saint-Germain (PSG), Alphonse...
Na MASHIRIKA WAYNE Rooney amefichua mpango wa kujifunza zaidi ukocha baada ya kuagana na Derby County akiwa bado na mwaka mmoja katika...
Na MASHIRIKA WEST Ham United wamefichua mpango wa kusajili upya kiungo mvamizi wa Manchester United, Jesse Lingard. Nyota huyo raia...
NA JOHN ASHIHUNDU MWANASOKA mstaafu, Dan Shikanda amewapongeza wanachama wa AFC Leopards kwa kumchagua tena kusimamia klabu hiyo kwa...
Na MASHIRIKA KIPA wa timu ya taifa ya Amerika, Matt Turner, amesema amefaulu “kutimiza ndoto yake kitaaluma” baada ya kuingia katika...
Na MASHIRIKA WAYNE Rooney ametaka wasimamizi wa klabu ya Derby County “kumwachisha kazi ya ukocha mara moja.” Rooney, 36, angali...
Na MASHIRIKA LIVERPOOL watakuwa radhi kuachilia mfumaji Mohamed Salah kuyoyomea Real iwapo wafalme hao wa Ligi Kuu ya Uhispania (La...
Na MASHIRIKA HUENDA Cristiano Ronaldo akabanduka ugani Old Trafford muhula huu na kuyoyomea Stamford Bridge kuvalia jezi za Chelsea...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA ya dereva chipukizi Kalle Rovanpera iliendelea kung’aa baada ya kuponyoka na taji la duru ya sita ya Mbio za...
Na MASHIRIKA SHIRIKISHO la Soka Duniani (FIFA) limeidhinisha ombi la washiriki wa Kombe la Dunia mwaka huu nchini Qatar kutaja vikosi...
NA MASHIRIKA MANCHESTER City wameafikiana na Leeds United kumsajili kiungo wa Uingereza, Kalvin Phillips kwa Sh6.6 bilioni ili kujaza...