• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Arsenal kusajili Gabriel Jesus wa Man-City ili kuziba pengo la Lacazette aliyerejea Lyon

Na MASHIRIKA ARSENAL wanatarajiwa kukamilisha uhamisho wa Gabriel Jesus chini ya siku saba zijazo katika hatua itakayoshuhudia fowadi...

Staa Lewandowski bado yupo Bayern Munich hadi 2023

IMETAYARISHWA NA CECIL ODONGO AFISA Mkuu Mtendaji wa Bayern Munich Oliver Kahn, amesema kuwa klabu hiyo inatarajia kuwa nyota wao Robert...

STAA WA SPOTI: Rayton ‘Boom Boom’ Okwiri atamba ndondi za kulipwa bara Afrika

NA CHARLES ONGADI RAYTON ‘Boom Boom' Okwiri ni kati ya mabondia nchini waliopata mafanikio makubwa katika mchezo huu ulio na mashabiki...

MATUKIO MUHIMU: Amefuzu ukocha viwango vya Fifa, KNVB na Cecafa

NA PATRICK KILAVUKA MWAKA 1993-2003 alichaguliwa kama mshirikishi wa Westlands katika dimba la Copa CocaCola na afisa wa Kamati ya...

JAGINA WA SPOTI: Shujaa wa soka ajitolea kukuza chipukizi mitaani

NA PATRICK KILAVUKA KIGOGO wa soka Athanas Obala "Obango" licha ya kuzaliwa nchini miaka 57 Uganda iliyotupa kisogo wakati mzazi wake...

Mimi niende Newcastle? Acheni hizo!

NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa Supastaa Neymar hana haja na Newcastle United licha ya madai kuwa huenda akaondoka Paris Saint-Germain...

NYOTA WA WIKI: Victor Osimhen

NA GEOFFREY ANENE VICTOR Osimhen anaongoza ufungaji wa mabao kwenye mechi za kufuzu kushiriki Kombe la Afrika (AFCON) 2023 nchini Ivory...

Obiri atawala 10,000m Kasarani, zamu ya Omanyala ni leo Jumamosi

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Hellen Obiri, Winny Chebet na Mary Moraa ni baadhi ya watimkaji waliong’ara katika siku ya kwanza ya...

Hoki: Mechi 3 kupigwa Jumapili

Na JOHN KIMWERE JUMLA ya mechi tatu za magongo kwa upande wa wanaume katika Ligi Kuu zimeratibiwa kuchezwa Jumapili uwanjani City Park,...

Mwamerika Fred Kerley afuta muda bora wa mita 100 alioweka Omanyala

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala sasa si mtimkaji aliye na muda bora mwaka 2022 katika umbali...

Droo ya Dala Sevens yatangazwa, KCB na Strathmore kufufua uadui makundini

Na GEOFFREY ANENE VIONGOZI wa ligi ya raga za kitaifa za wachezaji saba kila upande mwaka 2022 KCB wamekutanishwa tena na Strathmore...

Madaktari wanane kushtakiwa kwa kifo cha Maradona

NA MASHIRIKA BUENOS AIRES, Argentina WAHUDUMU wanane wa afya watafikishwa mahakamani kwa madai ya utelekezaji katika kifo cha...