NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MSHAMBULIZI wa Manchester United, Cristiano Ronaldo huenda akabanduka uwanjani Old Trafford katika...
Na AYUMBA AYODI MSHINDI wa nishani ya shaba ya Riadha za Dunia, Rhonex Kipruto na bingwa wa Afrika wa kurusha mkuki Julius Yego sasa...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Angella Okutoyi mnamo Jumatano alibanduliwa katika raundi ya pili kwenye mashindano ya tenisi ya J1 Nottingham...
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Simba United, Livingstone Wanga amemimia wachezaji wake sifa tele baada ya kuibuka mabingwa wa mechi za Kundi A...
Na JOHN KIMWERE MCHEZAJI wa kimataifa, Erick Kapaito inaonekana ameanza kufufua kasi yake kwenye kampeni za Ligi Kuu nchini Ethiopia...
Na CECIL ODONGO WIZARA ya Michezo, Utamaduni na Turathi za Kitaifa, kupitia Idara ya inayosimamia michezo, imeandikia mashirikisho ya...
Na CECIL ODONGO WIKI tatu tu baada ya Betsafe kujiondoa kama wadhamini wa Gor Mahia na AFC Leopards, timu hizo jana zilivuna nafuu baada...
NA RUTH AREGE KIUNGO wa kati wa timu ya Ligi Kuu ya wanawake KWPL Vihiga Queens Joan Nabirye, ametajwa kwenye kikosi cha timu ya taifa...
NA ABDULRAHMAN SHERIFF MWENYEKITI wa Chama cha mpira wa magongo Kaunti ya Mombasa (MCHA), Oliver Mascarenhas amesema chama chake...
NA GEOFFREY ANENE RAIA wa Finland Kalle Rovanpera alituma onyo la mapema kwa madereva wenzake kabla ya mashindano ya Safari Rally kuanza...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA wa mbio za kilomita 42 Eliud Kipchoge ameingia ushirikiano na kampuni ya kemikali ya INEOS kuwa na kituo cha...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA John Kariuki aliibuka mfalme mpya wa mbio za kimataifa za baiskeli za Migration Gravel Race zilizofanyika...