• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:55 PM

Mwamerika Fred Kerley afuta muda bora wa mita 100 alioweka Omanyala

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala sasa si mtimkaji aliye na muda bora mwaka 2022 katika umbali...

Droo ya Dala Sevens yatangazwa, KCB na Strathmore kufufua uadui makundini

Na GEOFFREY ANENE VIONGOZI wa ligi ya raga za kitaifa za wachezaji saba kila upande mwaka 2022 KCB wamekutanishwa tena na Strathmore...

Madaktari wanane kushtakiwa kwa kifo cha Maradona

NA MASHIRIKA BUENOS AIRES, Argentina WAHUDUMU wanane wa afya watafikishwa mahakamani kwa madai ya utelekezaji katika kifo cha...

CR7 achoka United, ataka kwenda zake

NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MSHAMBULIZI wa Manchester United, Cristiano Ronaldo huenda akabanduka uwanjani Old Trafford katika...

Yego kuwinda tiketi ya dunia Omanyala akiahidi kutimka chini ya sekunde 10 Kasarani

Na AYUMBA AYODI MSHINDI wa nishani ya shaba ya Riadha za Dunia, Rhonex Kipruto na bingwa wa Afrika wa kurusha mkuki Julius Yego sasa...

Okutoyi apigwa breki raundi ya pili tenisi ya Nottingham Uingereza

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Angella Okutoyi mnamo Jumatano alibanduliwa katika raundi ya pili kwenye mashindano ya tenisi ya J1 Nottingham...

Kocha wa Simba United apongeza vijana wake kwa kufaulu kushiriki michuano ya Daraja La Pili

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Simba United, Livingstone Wanga amemimia wachezaji wake sifa tele baada ya kuibuka mabingwa wa mechi za Kundi A...

Kapaito aanza kutesa wapinzani katika Ligi Kuu ya Ethiopia

Na JOHN KIMWERE MCHEZAJI wa kimataifa, Erick Kapaito inaonekana ameanza kufufua kasi yake kwenye kampeni za Ligi Kuu nchini Ethiopia...

Hakuna ufadhili kwa mashirikisho ya michezo, wizara yasema imesota

Na CECIL ODONGO WIZARA ya Michezo, Utamaduni na Turathi za Kitaifa, kupitia Idara ya inayosimamia michezo, imeandikia mashirikisho ya...

Gor Mahia na Ingwe zavuna pakubwa kwa kupata mdhamini mpya

Na CECIL ODONGO WIKI tatu tu baada ya Betsafe kujiondoa kama wadhamini wa Gor Mahia na AFC Leopards, timu hizo jana zilivuna nafuu baada...

Nabirye ateuliwa kikosi cha Uganda michuano ya AWCON

NA RUTH AREGE KIUNGO wa kati wa timu ya Ligi Kuu ya wanawake KWPL Vihiga Queens Joan Nabirye, ametajwa kwenye kikosi cha timu ya taifa...

Shirikisho kuandaa vipute vingi kunoa Wapwani katika magongo

NA ABDULRAHMAN SHERIFF MWENYEKITI wa Chama cha mpira wa magongo Kaunti ya Mombasa (MCHA), Oliver Mascarenhas amesema chama chake...