NA GEOFFREY ANENE RAIA wa Finland Kalle Rovanpera alituma onyo la mapema kwa madereva wenzake kabla ya mashindano ya Safari Rally kuanza...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA wa mbio za kilomita 42 Eliud Kipchoge ameingia ushirikiano na kampuni ya kemikali ya INEOS kuwa na kituo cha...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA John Kariuki aliibuka mfalme mpya wa mbio za kimataifa za baiskeli za Migration Gravel Race zilizofanyika...
Na MASHIRIKA RYAN Giggs amejiuzulu rasmi kama kocha wa timu ya taifa ya Wales. Fowadi huyo wa zamani wa Manchester United mwenye...
Na GEOFFREY ANENE WAENDESHAJI wa baiskeli Mattia de Marchi na Maria Vittoria Sperotto kutoka Italia wamo mbioni kutwaa ubingwa wa...
Na MASHIRIKA CHELSEA wako radhi kuweka mezani kima cha Sh5.2 bilioni ili kushawishi Raheem Sterling kubanduka Manchester City na kutua...
NA CHARLES ONGADI KIUNGO wa zamani Bandari FC Wilberforce ‘Zuma' Lugogo anatarajiwa kurudi kikosini baada ya kuichezea Sofapaka FC kwa...
Na JOHN KIMWERE AKINA dada wa timu ya taifa ya mchezo wa voliboli maarufu Malkia Strikers wapo tayari kuelekea nchini Brazil kwa mazoezi...
Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur wanaoendelea kujisuka upya chini ya kocha Antonio Conte, wamejinasia huduma za Yves Bissouma kutoka...
Na MASHIRIKA BLACKBURN Rovers wamemteua John Dahl Tomasson kuwa kocha wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu. Fowadi huyo wa zamani wa...
Na JOHN KIMWERE MNYAKAJI wa Nairobi City Stars, Jacob Osano amesema amepania kupambana mwanzo mwisho kuwinda taji la mlinga lango bora...
Na GEOFFREY ANENE KLABU ya Mwamba imetwaa ubingwa wa duru ya tatu ya raga ya kitaifa ya wachezaji saba kila upande ya Driftwood jijini...