• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:55 PM

Rovanpera atoa onyo kali katika mpasho Safari Rally ikianza leo Alhamisi

NA GEOFFREY ANENE RAIA wa Finland Kalle Rovanpera alituma onyo la mapema kwa madereva wenzake kabla ya mashindano ya Safari Rally kuanza...

Eliud Kipchoge na INEOS waanzisha kituo Kaptagat kukuza waendeshaji wa baiskeli

Na GEOFFREY ANENE NYOTA wa mbio za kilomita 42 Eliud Kipchoge ameingia ushirikiano na kampuni ya kemikali ya INEOS kuwa na kituo cha...

Mwendeshaji baiskeli Kariuki atawala Migration Gravel Race Maasai Mara

Na GEOFFREY ANENE MKENYA John Kariuki aliibuka mfalme mpya wa mbio za kimataifa za baiskeli za Migration Gravel Race zilizofanyika...

Ryan Giggs ajiuzulu kama kocha wa timu ya taifa ya Wales

Na MASHIRIKA RYAN Giggs amejiuzulu rasmi kama kocha wa timu ya taifa ya Wales. Fowadi huyo wa zamani wa Manchester United mwenye...

Waitaliano wanusia kutawala mashanidano ya Migration Gravel Race Maasai Mara

Na GEOFFREY ANENE WAENDESHAJI wa baiskeli Mattia de Marchi na Maria Vittoria Sperotto kutoka Italia wamo mbioni kutwaa ubingwa wa...

Chelsea kusajili Raheem Sterling kujaza pengo la Lukaku anayemezewa upya na Inter Milan

Na MASHIRIKA CHELSEA wako radhi kuweka mezani kima cha Sh5.2 bilioni ili kushawishi Raheem Sterling kubanduka Manchester City na kutua...

Lugogo afurahia kurudi Bandari akitokea Sofapaka

NA CHARLES ONGADI KIUNGO wa zamani Bandari FC Wilberforce ‘Zuma' Lugogo anatarajiwa kurudi kikosini baada ya kuichezea Sofapaka FC kwa...

Malkia Strikers tayari kuelekea Brazil baada ya Mozzartbet kuiokoa

Na JOHN KIMWERE AKINA dada wa timu ya taifa ya mchezo wa voliboli maarufu Malkia Strikers wapo tayari kuelekea nchini Brazil kwa mazoezi...

Spurs wasajili kiungo Bissouma kutoka Brighton

Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur wanaoendelea kujisuka upya chini ya kocha Antonio Conte, wamejinasia huduma za Yves Bissouma kutoka...

Blackburn Rovers wapata kocha mpya

Na MASHIRIKA BLACKBURN Rovers wamemteua John Dahl Tomasson kuwa kocha wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu. Fowadi huyo wa zamani wa...

Osano analenga Tuzo ya Mnyakaji Bora muhula ujao

Na JOHN KIMWERE MNYAKAJI wa Nairobi City Stars, Jacob Osano amesema amepania kupambana mwanzo mwisho kuwinda taji la mlinga lango bora...

Mwamba RFC ni wafalme wa Driftwood 7s

Na GEOFFREY ANENE KLABU ya Mwamba imetwaa ubingwa wa duru ya tatu ya raga ya kitaifa ya wachezaji saba kila upande ya Driftwood jijini...