NA JOHN KIMWERE WAFALME wa magongo nchini, Butali Warriors walirejea kileleni mwa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuzoa alama tatu muhimu...
Na MASHIRIKA UHISPANIA walipepeta Jamhuri ya Czech 2-0 mnamo Jumapili usiku katika uwanja wa La Rosaleda jijini Malaga na kutua kileleni...
Na MASHIRIKA ECUADOR watanogesha Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar baada ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kufutilia mbali madai ya...
Na MASHIRIKA HARIS Seferovic alifunga bao la haraka zaidi kwenye historia fupi ya kipute cha Uefa Nations League katika ushindi wa 1-0...
Na JOHN KIMWERE KANGEMI Starlets, Kayole Starlets na Bunyore Starlets kila moja imeshushwa daraja kutoka Ligi Kuu ya Soka la Kenya...
Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Erling Haaland aliendeleza makali yake katika soka ya kimataifa kwa kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2...
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Boston Marathon Peres Jepchirchir amekamilisha mbio za kilomita 10 za New York Mini 10K katika nafasi ya...
Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alisaidia Ufaransa kuzoa alama moja dhidi ya Austria baada ya kusawazishia mabingwa hao wa dunia dakika za...
IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO YAPO madai kuwa Arsenal inapanga kumsajili beki wa kati wa Dortmund Manuel Akanji ambaye aling’aa sana...
NA MASHIRIKA MUNICH, UJERUMANI KOCHA Gareth Southgate ameridhika na kikosi chake baada ya kutoka sare ya 1-1 na wenyeji Ujerumani,...
NA JOHN KIMWERE WADADIA FC imeponea kushushwa ngazi kutoka Ligi Kuu ya Soka la Wanawake (KWPL) baada ya kulazimisha sare tasa dhidi...
NA JOHN KIMWERE VIHIGA Bullets imeshushwa ngazi kutoka Ligi Kuu ya FKF-PL baada ya kung'atwa kwa mabao 4-1 na Maafande wa Kenya Police...