• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 3:41 PM

Hoki: Butali Warriors yapiga Sailors kurejea kileleni, Mashujaa yatesa Mombasa Sports Club

NA JOHN KIMWERE WAFALME wa magongo nchini, Butali Warriors walirejea kileleni mwa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuzoa alama tatu muhimu...

Uhispania wakomoa Czech na kutua kileleni mwa Kundi A2 la Uefa Nations League

Na MASHIRIKA UHISPANIA walipepeta Jamhuri ya Czech 2-0 mnamo Jumapili usiku katika uwanja wa La Rosaleda jijini Malaga na kutua kileleni...

Ecuador kushiriki Kombe la Dunia 2022 baada ya FIFA kufutilia mbali malalamishi ya Chile

Na MASHIRIKA ECUADOR watanogesha Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar baada ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kufutilia mbali madai ya...

Uswisi waduwaza Ureno katika Uefa Nations League

Na MASHIRIKA HARIS Seferovic alifunga bao la haraka zaidi kwenye historia fupi ya kipute cha Uefa Nations League katika ushindi wa 1-0...

KWPL: Kangemi, Kayole na Bunyore zaangukiwa na shoka

Na JOHN KIMWERE KANGEMI Starlets, Kayole Starlets na Bunyore Starlets kila moja imeshushwa daraja kutoka Ligi Kuu ya Soka la Kenya...

Haaland asaidia Norway kuzamisha chombo cha Uswidi katika Nations League

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Erling Haaland aliendeleza makali yake katika soka ya kimataifa kwa kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2...

Jepchirchir ajikwaa wakati wa mbio za New York Mini 10K

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Boston Marathon Peres Jepchirchir amekamilisha mbio za kilomita 10 za New York Mini 10K katika nafasi ya...

Austria ya kocha Ralf Rangnick yaendeleza masaibu ya Ufaransa katika Nations League

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alisaidia Ufaransa kuzoa alama moja dhidi ya Austria baada ya kusawazishia mabingwa hao wa dunia dakika za...

GUMZO: Arsenal inamtaka beki wa Dortmund

IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO YAPO madai kuwa Arsenal inapanga kumsajili beki wa kati wa Dortmund Manuel Akanji ambaye aling’aa sana...

Kane atoa pumzi Ujerumani, Italia ikimumunya Hungary

NA MASHIRIKA MUNICH, UJERUMANI KOCHA Gareth Southgate ameridhika na kikosi chake baada ya kutoka sare ya 1-1 na wenyeji Ujerumani,...

KWPL: Wadadia FC yaponea kuangukiwa na shoka

NA JOHN KIMWERE WADADIA FC imeponea kushushwa ngazi kutoka Ligi Kuu ya Soka la Wanawake (KWPL) baada ya kulazimisha sare tasa dhidi...

Vihiga Bullets yashushwa ngazi

NA JOHN KIMWERE VIHIGA Bullets imeshushwa ngazi kutoka Ligi Kuu ya FKF-PL baada ya kung'atwa kwa mabao 4-1 na Maafande wa Kenya Police...