• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 8:46 PM

Beki Ben White ajiondoa kambini mwa Uingereza kwa sababu ya jeraha

Na MASHIRIKA BEKI Ben White wa Arsenal amejiondoa kambini mwa timu ya taifa ya Uingereza kutokana na jeraha na sasa amerejea kambini mwa...

Beki Marcelo kuondoka Bernabeu akiwa mchezaji anayejivunia idadi kubwa zaidi ya mataji kambini mwa Real Madrid

Na MASHIRIKA MIAKA 15 baada ya kutua Real Madrid akilenga kuwa mrithi wa beki Roberto Carlos, Marcelo ataagana rasmi na miamba hao wa...

Lewandowski asema haoni uwezekano wa kuendelea kuwa mchezaji wa Bayern Munich

Na MASHIRIKA FOWADI Robert Lewandowski amesema “uhusiano wake na Bayern Munich umefikia kikomo na kubwa zaidi katika mipango yake kwa...

Masika avuna taji la League Cup nchini Thailand

Na GEOFFREY ANENE WINGA Ayub Timbe Masika alinyakua taji lake la tatu la msimu 2021-2022 baada ya klabu yake ya Buriram United kulima...

Kocha Ralf Rangnick akataa majukumu mapya ya kuwa mshauri kambini mwa Man-United

Na MASHIRIKA ALIYEKUWA kocha mshikilizi wa Manchester United, Ralf Rangnick, amekataa majukumu mapya ya kuwa mshauri wa benchi ya...

Nottingham Forest warejea EPL baada ya miaka 23

Na MASHIRIKA NOTTINGHAM Forest wataonja uhondo wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu ujao kwa mara ya kwanza tangu 1999 baada ya kukomoa...

Mchakato wa kuuzwa kwa Chelsea unakamilika rasmi leo Mei 30, 2022

Na MASHIRIKA MCHAKATO wa kuuzwa kwa Chelsea unakamilika rasmi leo Jumatatu, Mei 30, 2022 baada ya maelewano ya “mwisho na dhahiri”...

Mkenya Akida ashinda Ligi Kuu ya akina dada Ugiriki

Na GEOFFREY ANENE MCHEZAJI wa kimataifa wa Kenya, Esse Akida amenyakua taji lake la kwanza kubwa nchini Ugiriki baada kuchangia pakubwa...

Karan Patel ndiye mfalme wa Eldoret Rally

Na GEOFFREY ANENE DEREVA Karan Patel amezoa ushindi wake wa nne mfululizo kwenye Mbio za Magari za Kitaifa Kenya (KNRC) mwaka 2022 baada...

Maskini Homeboyz wajikwaa Ligi Kuu

CECIL ODONGO na JOHN ASHIHUNDU MATUMAINI ya Kakamega Homeboyz kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu kwa mara ya kwanza Jumapili yalipata pigo baada...

Chepng’etich ang’aria wapinzani mbio za 1500m Eugene Diamond League

NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Olimpiki katika mbio za mita 1,500 za kina dada Faith Chepng’etich aliandikisha kasi ya juu mwaka huu...

Strathmore ni wafalme Christie 7s huku Shujaa wakiangukia pua London

NA GEOFFREY ANENE STRATHMORE Leos jana Jumapili ilifanikiwa kulipiza kisasi dhidi ya KCB baada ya kuipiga 25-10 katika fainali ya...