• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Salah na Son wagawana Kiatu cha Dhahabu baada ya kuibuka wafungaji bora wa EPL msimu huu

Na MASHIRIKA FOWADI Mohamed Salah wa Liverpool na Son Heung-min wa Tottenham Hotspur waligawa tuzo ya ‘Kiatu cha Dhahabu’ baada ya...

Desai FC yabwaga Kitisuru Allstars huku Kibagare Slums ikitoka sare na Rosslyn FC

NA PATRICK KILAVUKA KULISHUHUDIWA matokeo mseto katika michuano ya Ligi ya Kaunti, FKF, Nairobi West ambayo iliandaliwa ugani...

PSG watumia mabilioni ya pesa kushawishi Mbappe kuwaruka Real Madrid

Na MASHIRIKA MVAMIZI Kylian Mbappe, 23, ataendelea kusakatia Paris Saint-Germain (PSG) hadi mwaka wa 2025 baada ya kutupilia mbali ofa ya...

Kylian Mbappe asema angali na ndoto ya kuchezea Real Madrid katika siku za usoni

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe amesema ndoto ya kuchezea Real Madrid katika siku za usoni haijazimika licha ya maamuzi yake ya kupuuza ofa ya...

Makipa Ederson na Alisson wa Man-City na Liverpool mtawalia wagawana tuzo ya Kipa Bora wa EPL msimu 2021-22

Na MASHIRIKA KIPA Ederson Moraes wa Man-City na Alisson Becker wa Liverpool waligawana tuzo ya Kipa Bora almaarufu Golden Glove baada ya...

Ulinzi Starlets pazuri kumaliza katika nafasi ya pili KWPL

Na JOHN KIMWERE MAAFANDE wa Ulinzi Starlets wamejiongezea matumaini ya kumaliza katika nafasi ya pili katika Ligi Kuu ya Wanawake...

Kocha Ten Hag ateua wakufunzi watakaomsaidia kunoa kikosi cha Man-United

Na MASHIRIKA ERIK Ten Hag atasaidiana na Steve McClaren na Mitchell van der Gaag kudhibiti mikoba ya Manchester United. Wawili hao...

Twaha Mbarak akutana na Origi Anfield baada ya Liverpool kushinda Wolves

NA JOHN ASHIHUNDU TWAHA Mbarak anayewania kiti cha urais kwenye uchaguzi ujao wa FKF ni miongoni mwa Wakenya waliopata fursa ya...

Man-City wakomoa Aston Villa ugani Etihad na kuhifadhi taji la EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walitoka nyuma kwa mabao mawili na kukomoa Aston Villa 3-2 mnamo Jumapili ugani Etihad katika ushindi...

Mbappe afunga mabao matatu dhidi ya Metz na kuibuka Mfungaji Bora wa Ligue 1 msimu wa 2021-22

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alisherehekea maamuzi ya kutia saini mkataba mpya wa miaka mitatu kambini mwa Paris Saint-Germain (PSG) kwa...

Tammy Abraham aweka rekodi mpya ya ufungaji wa mabao miongoni mwa wanasoka raia wa Uingereza katika Serie A

Na MASHIRIKA TAMMY Abraham, 24, ameweka rekodi mpya ya mwanasoka raia wa Uingereza kuwahi kufunga idadi kubwa zaidi ya mabao katika Ligi...

Timbe atwaa Kombe la FA Thailand

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Ayub Timbe Masika alitwaa taji lake la pili nchini Thailand baada ya timu yake ya Buriram United kupiga Nakhon...