Na MASHIRIKA KIUNGO Kevin de Bruyne wa Manchester City ametawazwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo 2021-22 huku...
NA GEOFFREY ANENE TIMU ya Kenya Simbas imefungwa miguso mitatu katika dakika 15 za mwisho na kupoteza 45-33 dhidi ya wenyeji Boland...
Na MASHIRIKA BORUSSIA Dortmund wamemfuta kazi kocha Marco Rose baada ya msimu mmoja. Baada ya kuagana na Borussia Monchengladbach,...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA McRae Kimathi amekamilisha mkondo wa sita wa duru ya Mbio za Magari Duniani (WRC) ya Ureno katika nafasi ya nne...
NA MASHIRIKA SEVILLE, Uhispania ILIKUWA raha kwa Eintracht Frankfurt na karaha kwa Glasgow Rangers baada ya Ligi ya Uropa kukamilika...
NA MASHIRIKA LIVERPOOL, Uingereza BEKI wa Liverpool, Joel Matip ameonya wachezaji wenza kabla ya siku ya mwisho ya Ligi Kuu ya...
Na JOHN KIMWERE MENEJA wa Thika Queens, Glenston Muganda amewataka wachezaji wake wapambane ili kuhakikisha wanashinda mechi zote nne...
Na JOHN KIMWERE TIMU za wanawake za Kenya Prisons, Kenya Pipeline na KCB Bank ziliwasili vyema nchini Tunisia tayari kushiriki kampeni...
Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Vikings ni kati ya vikosi saba vinavyoshiriki mechi za mpira wa magongo ya Supa Ligi kuwania tiketi...
Na MASHIRIKA EVERTON watasalia katika kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu ujao baada ya kutoka nyuma na kukomoa Crystal Palace...
Na MASHIRIKA NAHODHA wa Gabon na fowadi wa Barcelona, Pierre-Emerick Aubameyang, 32, amestaafu soka ya kimataifa wiki mbili kabla ya...
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya tenisi ya mezani ya Kenya imeimarisha maandalizi ya mashindano ya Afrika kufuzu kushiriki Kombe la...