• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 10:48 AM

Kevin de Bruyne na Phil Foden washinda tuzo za Mchezaji Bora na Chipukizi Bora wa EPL mtawalia msimu huu

Na MASHIRIKA KIUNGO Kevin de Bruyne wa Manchester City ametawazwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo 2021-22 huku...

Wanaraga wa Kenya Simbas wang’atwa na Boland ligi ya Currie Cup

NA GEOFFREY ANENE TIMU ya Kenya Simbas imefungwa miguso mitatu katika dakika 15 za mwisho na kupoteza 45-33 dhidi ya wenyeji Boland...

Dortmund wamtimua kocha Marco Rose baada ya msimu mmoja

Na MASHIRIKA BORUSSIA Dortmund wamemfuta kazi kocha Marco Rose baada ya msimu mmoja. Baada ya kuagana na Borussia Monchengladbach,...

Dereva Kimathi amaliza nambari nne mkondo wa sita mbio za magari Ureno

Na GEOFFREY ANENE MKENYA McRae Kimathi amekamilisha mkondo wa sita wa duru ya Mbio za Magari Duniani (WRC) ya Ureno katika nafasi ya nne...

Eintracht Frankfurt wafalme Uropa

NA MASHIRIKA SEVILLE, Uhispania ILIKUWA raha kwa Eintracht Frankfurt na karaha kwa Glasgow Rangers baada ya Ligi ya Uropa kukamilika...

Liverpool yasuka njama ya kupokonya City windo la EPL

NA MASHIRIKA LIVERPOOL, Uingereza BEKI wa Liverpool, Joel Matip ameonya wachezaji wenza kabla ya siku ya mwisho ya Ligi Kuu ya...

Thika Queens bado yalenga kukamilisha kampeni miongoni mwa vikosi nne-bora KWPL

Na JOHN KIMWERE MENEJA wa Thika Queens, Glenston Muganda amewataka wachezaji wake wapambane ili kuhakikisha wanashinda mechi zote nne...

Voliboli: Wawakilishi wa Kenya wawasili nchini Tunisia tayari kushiriki kampeni za CAVB

Na JOHN KIMWERE TIMU za wanawake za Kenya Prisons, Kenya Pipeline na KCB Bank ziliwasili vyema nchini Tunisia tayari kushiriki kampeni...

Magongo: Vikings yafanya kulihali kurejea katika mashindano ya Ligi Kuu

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Vikings ni kati ya vikosi saba vinavyoshiriki mechi za mpira wa magongo ya Supa Ligi kuwania tiketi...

Everton wakomoa Palace na kukwepa shoka la kuwateremsha ngazi EPL

Na MASHIRIKA EVERTON watasalia katika kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu ujao baada ya kutoka nyuma na kukomoa Crystal Palace...

Aubameyang astaafu kuichezea timu ya taifa

Na MASHIRIKA NAHODHA wa Gabon na fowadi wa Barcelona, Pierre-Emerick Aubameyang, 32, amestaafu soka ya kimataifa wiki mbili kabla ya...

Roho mkononi wanatenisi ya mezani wakingoja usaidizi kuhudhuria michuano ya Afrika

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya tenisi ya mezani ya Kenya imeimarisha maandalizi ya mashindano ya Afrika kufuzu kushiriki Kombe la...