• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 8:22 PM

Liverpool yapiga Southampton na kulazimisha mshindi wa EPL msimu huu kupatikana siku ya mwisho ya kampeni

Na CHRIS ADUNGO MSHINDI wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu sasa atajulikana siku ya mwisho ya kampeni baada ya Liverpool kutoka nyuma...

Vishale: Maafande wa Nakuru Mashariki ndio mabingwa wa taji la Healing The Boot

NA JOHN KIMWERE MAAFANDE wa Kenya Police kutoka kituo Nakuru Mashariki wametazwa mabingwa wa taji la Healing The Boot, kwenye mechi za...

Arsenal yapoteza tumaini

NA MASHIRIKA NEWCASTLE, Uingereza KIUNGO mahiri Granit Xhaka wa Arsenal amewashutumu wenzake wa kikosi hicho kufuatia kushindwa kwao...

Kipa mdogo kiumri mwenye uzoefu langoni

NA PATRICK KILAVUKA KOMEO Maxwell Odhiambo, 17, mwanafunzi wa Kidato cha Nne Sekondari ya Jamhuri High, Kaunti ya Nairobi ni mwiba...

Kocha wa Kangemi Allstars asema heri kuvuna alama moja kuliko kupoteza

NA PATRICK KILAVUKA KOCHA wa Kangemi Allstars Paul Okatwa amesikitika kwamba timu yake ilipoteza nafasi nyingi sana ambazo zingeipa...

Liverpool kuipa Manchester City taji ikipigwa leo

Na MASHIRIKA LIVERPOOL watavaana na Southampton leo Jumanne ugani St Mary’s katika pambano la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ambalo wana...

Kibai, Rono watwaa dhahabu Olimpiki ya Viziwi

Na VICTOR OTIENO akiwa Caxias do Sul, Brazil SYMON Kibai alitimiza lengo lake la kuzoa mataji mawili kwenye Olimpiki ya Viziwi nchini...

Shofco Mathare yaota mizizi ikilenga kupanda daraja

NA JOHN KIMWERE NI miongoni mwa vikosi vinavyotifua vumbi kali kwenye kampeni za ngarambe ya kipute cha Nairobi West Regional League...

Salah na De Bruyne kati ya masogora wanane wanaowania taji la Mchezaji Bora wa Mwaka katika EPL

Na MASHIRIKA KEVIN de Bruyne wa Manchester City na Mohamed Salah wa Liverpool ni miongoni mwa masogora wanane ambao wameteuliwa kuwania...

Liverpool wazamisha Chelsea na kutwaa Kombe la FA kwa mara ya kwanza tangu 2006

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walidumisha uhai wa matumaini ya kujizolea mataji manne msimu huu baada ya kupepeta Chelsea kwa penalti 6-5 na...

Haaland afunga bao katika mchuano wake wa mwisho kambini mwa Dortmund kabla ya kuhamia Man-City

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Erling Braut Haaland alifunga bao katika mchuano wake wa mwisho kambini mwa Borussia Dortmund kadri...

Kocha McCrath kutegemea ujuzi wake kuvumisha Kenya Sevens

AYUMBA AYODI na JOHN ASHIHUNDU KOCHA mpya wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande (Kenya Sevens), Damian McGrath...