Na MASHIRIKA LIVERPOOL walitoka nyuma na kupepeta Aston Villa 2-1 mnamo Jumanne usiku ugani Villa Park katika ushindi ulioendeleza...
NA VICTOR OTIENO Akiwa CAXIAS DO SUL, BRAZIL KENYA iliendelea kufanya vyema katika riadha kwenye Olimpiki ya Viziwi baada ya mtimkaji Ian...
Na MASHIRIKA CHELSEA walishinda taji la Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake nchini Uingereza (WSL) kwa mara ya tatu mfululizo baada ya...
Na GEOFFREY ANENE DEREVA McRae Kimathi ameelekea nchini Ureno kushiriki duru ya nne ya Mbio za Magari Duniani (WRC) itakayofanyika Mei...
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Kenya ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 14 na pia walio chini ya umri wa miaka 16 zilirejea nyumbani...
Na MASHIRIKA NDOTO ya Liverpool kutia kapuni taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu itazimika leo Jumanne iwapo watazidiwa...
Na MASHIRIKA EVERTON walijiondoa katika hatari ya kuteremshwa ngazi katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mwishoni mwa msimu huu baada ya...
Na PATRICK KILAVUKA KIJANA Gideon Chogo, 23, ni winga wa kulia wa UoN Olympic ambaye amejifunga kibwebwe kuhakikisha anahimili dhoruba...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) na kuweka hai matumaini ya kuhifadhi taji la...
Na GEOFFREY ANENE BEKI Joseph Okumu alipata bao lake la kwanza baada ya michuano 38 na kusaidia KAA Gent kuzima KV Mechelen 1-0 kwenye...
Na MASHIRIKA LIVERPOOL walipoteza alama mbili muhimu kwa mara ya kwanza kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ugani Anfield tangu Oktoba...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United walidhalilishwa na Brighton kwa kichapo cha 4-0 ugani Amex katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza ambayo...