• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 7:47 PM

Liverpool wakomoa Aston Villa na kuendeleza presha kwa Man-City kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walitoka nyuma na kupepeta Aston Villa 2-1 mnamo Jumanne usiku ugani Villa Park katika ushindi ulioendeleza...

Wambui aleta dhahabu ya 2 Olimpiki ya Viziwi 2022

NA VICTOR OTIENO Akiwa CAXIAS DO SUL, BRAZIL KENYA iliendelea kufanya vyema katika riadha kwenye Olimpiki ya Viziwi baada ya mtimkaji Ian...

Vipusa wa Chelsea wacharaza Man-United na kutwaa taji la WSL msimu huu

Na MASHIRIKA CHELSEA walishinda taji la Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake nchini Uingereza (WSL) kwa mara ya tatu mfululizo baada ya...

Kimathi aelekea Ureno kupaisha gari duru ya dunia

Na GEOFFREY ANENE DEREVA McRae Kimathi ameelekea nchini Ureno kushiriki duru ya nne ya Mbio za Magari Duniani (WRC) itakayofanyika Mei...

Mabingwa wa tenisi Afrika Mashariki U-14 Kenya warejea nyumbani

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Kenya ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 14 na pia walio chini ya umri wa miaka 16 zilirejea nyumbani...

Liverpool kigezoni dhidi ya Aston Villa

Na MASHIRIKA NDOTO ya Liverpool kutia kapuni taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu itazimika leo Jumanne iwapo watazidiwa...

EPL: Everton walaza Leicester na kujiondoa katika hatari ya kuteremshwa ngazi

Na MASHIRIKA EVERTON walijiondoa katika hatari ya kuteremshwa ngazi katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mwishoni mwa msimu huu baada ya...

Chogo alenga kufikia kiwango cha nyota Cristiano Ronaldo wa Manchester United

Na PATRICK KILAVUKA KIJANA Gideon Chogo, 23, ni winga wa kulia wa UoN Olympic ambaye amejifunga kibwebwe kuhakikisha anahimili dhoruba...

Man-City waponda Newcastle United ugani Etihad na kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) na kuweka hai matumaini ya kuhifadhi taji la...

Beki Mkenya Okumu amaliza ukame mkali wa magoli Ubelgiji

Na GEOFFREY ANENE BEKI Joseph Okumu alipata bao lake la kwanza baada ya michuano 38 na kusaidia KAA Gent kuzima KV Mechelen 1-0 kwenye...

Spurs walazimishia Liverpool sare katika EPL ugani Anfield

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walipoteza alama mbili muhimu kwa mara ya kwanza kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ugani Anfield tangu Oktoba...

Brighton yadhalilisha Man-United katika pambano la EPL uwanjani Amex

Na MASHIRIKA MANCHESTER United walidhalilishwa na Brighton kwa kichapo cha 4-0 ugani Amex katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza ambayo...