• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 8:50 AM

Kocha wa Ingwe kuteremsha uwanjani kikosi kikali dhidi ya K’Ogalo

NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA Patrick Aussems ameahidi kuteremsha uwanjani kikosi imara cha kuvuruga matumaini ya Gor Mahia kesho Jumapili...

Wakufunzi Mikel Arteta na Jonas Eidevall watia saini kandarasi mpya kambini mwa Arsenal

NA MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta wa timu ya wanaume kambini mwa Arsenal na mwenzake Jonas Eidevall wa kikosi cha wanawake, wametia saini...

AS Roma yazamisha Leicester City na kutinga fainali ya Europa Conference League

Na MASHIRIKA LEICESTER City walikosa kufuzu kwa fainali ya kipute kipya cha Europa Conference League baada ya AS Roma kuwapokeza kichapo...

Rangers wadengua RB Leipzig na kufuzu kwa fainali ya Europa League

Na MASHIRIKA RANGERS watavaana na Eintracht Frankfurt kwenye fainali ya Europa League msimu huu. Hii ni baada ya kikosi hicho cha Ligi...

Wasichana wa Kenya waendelea kung’aria wapinzani tenisi ya U14 na U16 Kigali

Na GEOFFREY ANENE WASICHANA kutoka Kenya waliendelea kufanya vyema katika mashindano ya tenisi ya Afrika Mashariki ya wachezaji...

Jesse Lingard aamua kuondoka Man-United mwishoni mwa msimu huu

Na MASHIRIKA KIUNGO Jesse Lingard amefikia maamuzi ya kuagana na Manchester United mwishoni mwa msimu huu wa 2021-22 baada ya kuhisi...

Jezi ya ‘Hand of God’ ya Maradona yazoa Sh1.1 bilioni mnadani

Na MASHIRIKA JEZI iliyovaliwa na aliyekuwa mwanasoka nguli wa Argentina, Diego Maradona alipofunga bao kwa mkono almaarufu ‘Hand of...

Real Madrid yang’oa Man-City na kufuzu kuvaana na Liverpool kwenye fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA REAL Madrid watakutana na Liverpool kwenye fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) baada ya kutoka nyuma na kusajili ushindi...

Mshindi wa Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake nchini Uingereza msimu huu kujulikana siku ya mwisho baada ya Arsenal kupepeta Spurs

Na MASHIRIKA MSHINDI wa Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake nchini Uingereza (WSL) msimu huu atajulikana katika siku ya mwisho ya...

Mwamerika Kerley amchongoa Omanyala kiujanja kuwa hana medali

Na GEOFFREY ANENE FRED Kerley anaonekana kumchongoa Mkenya Ferdinand Omanyala kiujanja kwa kusema kuwa medali ni muhimu katika...

Kisasi tupu leo Real ikialika City

NA MASHIRIKA MADRID, Uhispania REAL Madrid watakuwa nyumbani ugani Santiago Bernabeu kukabiliana na Manchester City katika mechi ya...

Liverpool yadengua Villarreal ya Uhispania na kutinga fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL watakutana na Manchester City au Real Madrid kwenye fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) itakayochezewa mnamo Mei...