• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Mainz yaduwaza Bayern Munich katika Bundesliga

Na MASHIRIKA KOCHA Julian Nagelsmann amewataka wanasoka wake kuwa “wazalendo na kucheza kwa heshima ya nembo ya kikosi kwenye jezi...

Man-City waponda Leeds United na kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliruka Liverpool na kurejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kupepeta Leeds...

Norwich City washushwa daraja katika EPL

Na MASHIRIKA NORWICH City waliteremshwa ngazi kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu baada ya kupokezwa kichapo cha 2-0 kutoka kwa...

Liverpool wakomoa Newcastle na kuweka hai matumaini ya kumaliza msimu na mataji manne

Na MASHIRIKA LIVERPOOL waliweka hai matumaini ya kujizolea jumla ya mataji manne katika kampeni za msimu huu baada ya kupokeza Newcastle...

Wakala wa soka, Mino Raiola, aaga dunia akiwa na umri wa miaka 54

Na MASHIRIKA MINO Raiola, ajenti aliyewakalisha baadhi ya wanasoka wa haiba kubwa zaidi duniani, amefariki akiwa na umri wa miaka...

Salah na Kerr waibuka wachezaji bora wa tuzo za Shirika la Waandishi wa Soka (FWA)

Na MASHIRIKA FOWADI Mohamed Salah wa Liverpool mwanasoka bora wa kiume wa tuzo ya Shirika la Waandishi wa Soka (FWA) huku Sam Kerr wa...

Presha City ikizuru Leeds, Liverpool ikivizia Newcastle

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza MANCHESTER City watakuwa na presha ya kuepuka kuteleza watakapozuru Leeds baada ya wapinzani wao wa...

STAA WA SPOTI: Nguli wa fani ya soka nchini Kenya

NA GEOFFREY ANENE MICHAEL Olunga ni mshambulizi matata wa Kenya na klabu ya Al Duhail nchini Qatar. Nyota huyo maarufu kama Engineer,...

KCB yamwaga Sh70m kudhamini mbio za magari Uganda

NA GEOFFREY ANENE KENYA Commercial Bank (KCB) Uganda imemwaga Sh70 milioni kudhamini mbio za magari nchini Uganda ikiwemo duru ya Afrika...

VITUKO: Chicharito hatarini kutemwa kufuatia ukware wake na wa pembeni

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO NYOTA wa zamani wa Manchester United na West Ham United, Javier ‘Chicharito’ Hernandez, 33, yuko katika...

Ralf Rangnick apokezwa mikoba ya timu ya taifa ya Austria

Na MASHIRIKA KOCHA mshikilizi wa Manchester United, Ralf Rangnick, 63, ameteuliwa kuwa mkufunzi wa timu ya taifa ya Austria. Ametia...

Man-United na Chelsea nguvu sawa katika gozi la EPL ugani Old Trafford

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alifunga bao na kuvunia waajiri wake Manchester United alama moja baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Chelsea...