• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 10:48 AM

Wakenya sita kuwania ubingwa wa Pearl Rally Uganda

Na GEOFFREY ANENE MADEREVA sita kutoka Kenya wako katika orodha ya 49 watakaoshiriki duru ya Mbio za Magari za Afrika (ARC) ya Pearl...

Rotich aonya wapinzani mita 800 akielekea Botswana kujinoa

Na AYUMBA AYODI MSHINDI wa medali ya fedha ya Olimpiki mbio za mita 800 Ferguson Rotich atatumia shindano la Gaborone International Meet...

Liverpool wapepeta Villarreal katika mkondo wa kwanza wa nusu-fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walipiga hatua kubwa katika juhudi za kutinga fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa mara nyingine baada ya...

Mkufunzi wa kimataifa Shinji Akita awahimiza makocha wa karate wafundishe kwa kujitolea

NA LAWRENCE ONGARO MKUFUNZI wa karate wa kimataifa Shinji Akita, amewahimiza makocha wa hapa nchini wawe makini kusambaza ujuzi...

Villarreal kuvizia Liverpool

NA MASHIRIKA MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL wako nyumbani ugani Anfield leo usiku kuwakaribisha Villarreal katika mechi ya mkondo wa...

Liverpool kucheza mechi mbili katika wiki ya mwisho kwenye kampeni za msimu huu

Na MASHIRIKA LIVERPOOL watachezea mara mbili katika wiki ya mwisho kwenye kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu baada ya...

Mlinzi wa Ingwe kukaa nje miezi minne

NA JOHN ASHIHUNDU BEKI tegemeo wa AFC Leopards Kaycie Odhiambo atakuwa nje bila kucheza hadi msimu huu umalizike. Odhiambo...

Man-City wapepeta Real Madrid katika mkondo wa kwanza wa nusu-fainali ya UEFA ugani Etihad

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walitia guu moja ndani ya fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu baada ya kupokeza Real Madrid...

Beki Ronald Araujo sasa kuchezea Barcelona hadi 2026

Na MASHIRIKA BEKI Ronald Araujo amerefusha mkataba wake kambini mwa Barcelona hadi mwaka wa 2026 huku kikosi kitakachohitaji huduma zake...

Awiti ashinda gofu ya Safaricom mjini Eldoret kuingia fainali kubwa

Na GEOFFREY ANENE ALICE Awiti kutoka Nyanza aliibuka mshindi wa duru ya sita ya mashindano ya gofu ya Safaricom Golf Tour baada ya kuzoa...

Chipukizi Kimathi ajiuzulu mkondo wa mwisho Croatia Rally

Na GEOFFREY ANENE DEREVA chipukizi McRae Kimathi na mwelekezi wake Mwangi Kioni hawakuponea ukatili wa mbio za magari Croatia kwenye...

Bayern Munich wacharaza Dortmund na kutwaa taji la Bundesliga kwa mara ya 10 mfululizo

Na MASHIRIKA BAYERN Munich walitawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) kwa mara ya 10 mfululizo baada ya kutandika watani...