• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 4:55 PM

Chipukizi Kimathi ajiuzulu mkondo wa mwisho Croatia Rally

Na GEOFFREY ANENE DEREVA chipukizi McRae Kimathi na mwelekezi wake Mwangi Kioni hawakuponea ukatili wa mbio za magari Croatia kwenye...

Bayern Munich wacharaza Dortmund na kutwaa taji la Bundesliga kwa mara ya 10 mfululizo

Na MASHIRIKA BAYERN Munich walitawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) kwa mara ya 10 mfululizo baada ya kutandika watani...

Tottenham wapitwa na Arsenal baada ya kukabwa koo na Brentford ligini

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Tottenham Hotspur kukamilisha kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ndani ya orodha ya nne-bora msimu huu...

Arsenal waendeleza masaibu ya Man-United katika EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL waliweka hai matumaini ya kukamilisha kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu ndani ya mduara wa nne-bora na...

Kitanuka Emirates leo!

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA WENYEJI Arsenal na Manchester United zitavaana ugani Emirates katika mechi ya Ligi Kuu (EPL) iliyo na...

GUMZO: Dalili zaongezeka Pogba ataondoka United

IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO UWEZEKANO wa kiungo wa Manchester United Paul Pogba kuondoka timu hiyo unaendelea kuongezeka huku kandarasi...

STAA WA SPOTI: Malkia wa kipekee katika marathon

NA GEOFFREY ANENE NYOTA Ruth Chepng’etich ni mmoja wa wanariadha ambao Kenya imechagua kupeperusha bendera ya taifa kwenye Riadha za...

Aubameyang abeba Barcelona dhidi ya Real Sociedad ligini

Na MASHIRIKA BAO la tisa la fowadi Pierre-Emerick Aubameyang kutoka na mechi 11 katika kampeni za Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga)...

Man-United waajiri kocha Erik ten Hag kwa mkataba wa miaka mitatu

Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamemteua kocha Erik ten Hag wa Ajax kuwa mkufunzi wao mpya. Mholanzi huyo mwenye umri wa miaka 52...

Man-City wapepeta Brighton na kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliwaruka Liverpool na kurejea tena kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kufunga...

PSG sasa wanahitaji alama moja kutokana na mechi tano ili kutawazwa wafalme wa Ligue 1

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) walilazimika kusubiri zaidi kabla ya kunyanyua taji la Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kwa mara ya...

Uchunguzi wa mauaji ya Damaris waanza

Na GEOFFREY ANENE JAMII ya riadha na michezo kwa jumla Jumatano iliendelea kuomboleza kifo cha mwanariadha Damaris Muthee Mutua...